Kesho Lowassa kuifuta rasmi CCM mikoa ya Kusini

Kesho Lowassa kuifuta rasmi CCM mikoa ya Kusini

uku kesho tunasimamisha shughuli zetu ili kumpokea next president edward lowasa, viva UKAWA
 
Kipi nimeongea ambacho ww unadhani nimekitoa kwenye akili yangu binafsi naona mnashindwa kutafuta ukweli wa hili lililosemwa na wanachato badala yake mnatiririsha matusi Mara sheria ya mtandao kwa lipi startv walikuwa online pale chato sasa km unauna wanachato kuongea vile ni sawa ila mwingine kunukuu yale ni kosa kaa na ulofa wako ila wanachato wameliongea hilo.

Endelea kutupatia ushahidi husio na shaka
 
Najua inauma lkn tunataka ukweli wa hili je mamvi alijisevia km wanavyodai wanachato???hampaswi kuruka swali leta majibu nideal na ishu zingine sio kurukaruka tu na matusi juu.
 
Ama kweli mwaka huu huu mambo.Wafanyabiashara Mtwara tuliokubali kufunga maduka kila mtu amelipwa Mara 3 ya anachouza kwa siku.Hivi Lowassa anapata wapi pesa?

acha umbea ww! tunasitisha shughuli zetu toka moyoni
 
Wanabodi kama ilivyo ada kesho mgombea urais kupitia CHADEMA/UKAWA mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa anaingia mkoa Mtwara na Lindi kuifuta rasmi CCM na wana Kusini wameahidi kutofungua maduka yao ili kuonyesha na kushiriki mapokezi ya aina yake kwa rais wao mtarajiwa.

Acha ujinga wewe! Ulikaa kikao gani, wapi na lini kutuambia wafanyabiashara tusifungue maduka? Huo ndio ujinga na ulofa, we mtu usizalishe mali na kupata kipato kwa siasa! Yeye Lowasa akija jukwaani hapo ndio yupo kazini kwake, iweje wewe usifanye kazi ukamuangalie mwenzako akifanya kazi yake? Imeandikwa, asiyefanya kazi na asile, na wewe ushinde njaa siku hiyo!
 
Amani kwenu mmawia ,kukukakara,hoodrich na nifah ni kweli inasikitisha sana hii taarifa.
 
Kwa hili mimi ni CCM lakini nitampigia kura Lowassa. It is so low beyond description. UKAWA mmepata kura yangu.

Hongera sana na asante sana kwa kuipa team ya mabadiliko kura yako yenye thamani kubwa sana hasa kipindi tulio nacho
 
Nimetoka huko wanaita kesho ni Lowassa day vijana wa bodaboda mama ntilie bajaji leo wanalala uwanjani kumsubiri
 
uku kesho tunasimamisha shughuli zetu ili kumpokea next president edward lowasa, viva UKAWA

Tutakuwa wote hapa mtwara kushuhudia manisipaa inavyosimama kwa muda
 
Mnashinda mitandaoni mnadanganyanaaa weeeeeeee kuipata nafasi unaandika Kama mwehu tuu ,hivi Wewe unaijua Tanzania vizuri au unajiandikiaaaa tu u kila maharage

Wewe ndo unaijua Tanzania vizuri? Pole mkuu roho inakuuna ndo basi tena huna jinsi.
 
Ama kweli mwaka huu huu mambo.Wafanyabiashara Mtwara tuliokubali kufunga maduka kila mtu amelipwa Mara 3 ya anachouza kwa siku.Hivi Lowassa anapata wapi pesa?

Ana kiwanda cha pesa, ndio maana tunampa urais ili awe anatugawia pesa.

Hatutaki rais masikini,,rais tajiri Lowasssa.
 
Ama kweli mwaka huu huu mambo.Wafanyabiashara Mtwara tuliokubali kufunga maduka kila mtu amelipwa Mara 3 ya anachouza kwa siku.Hivi Lowassa anapata wapi pesa?

Hata wakati wanapata bakora za ukweli ili kupisha usafirishaji wa gas aliyewalipa alikuwa ni Edward N. L eti ehee??
Tuulize sisi wamakonde jinsi tulivyoadhibiwa hadi wengine walipoteza maisha. Sitaki niweke picha za kudhalilishwa kwetu kwani itamsha hasira za wana mtwara
 
Back
Top Bottom