Kesho Lowassa kuifuta rasmi CCM mikoa ya Kusini

Kesho Lowassa kuifuta rasmi CCM mikoa ya Kusini

Naskia chato wamesema eti alijinyea ktk ardhi ya wana chato kuna ukweli wa hili hayo yote ni mkutano wa Leo pale chato uwanja wa nyumbani

Wanatathmini mwenendo wa kamapeni wanatabiri green corner karibu inatupiwa taulo na cocha. Mashambulizi ya Red corner yamesababisha green corner ku loose temper. Katika boxing ku loose temper ni mwiko maana hufuati sheria na unaishiwa maarifa . Ushindi ni dhahiri red corner. Like konda la Geita mmh!!
 
Mkuu nimeingia leo jioni mtwara nimekuta barabara zoote zinepambwa kuliko ujio wa obama

Daaah,hongera na pole kwa safari mkuu.
Bila shaka kesho utatupa updates nzuri sana kutoka huko....
Tuombe uzima.
 
We unaejiita mirror x huoni wala hufikirii kuwa umechelewaaa ,malofa ktk ubora wetu au vp?
 
Kipi nimeongea ambacho ww unadhani nimekitoa kwenye akili yangu binafsi naona mnashindwa kutafuta ukweli wa hili lililosemwa na wanachato badala yake mnatiririsha matusi Mara sheria ya mtandao kwa lipi startv walikuwa online pale chato sasa km unauna wanachato kuongea vile ni sawa ila mwingine kunukuu yale ni kosa kaa na ulofa wako ila wanachato wameliongea hilo.
 
CCM out....

Tumechoka na MATUSI YENU CCM, hatuwataki...

Tokeniiiiii...tokaaaaa...MATUSI mkae nayo makwenu...

CCM ni MATUSI TU... hiki chama kichafu sana sanaaa... majizi haya..!!
 
Huko ndp magamba yalijitangazia utawala wa kijeshi ili kuleta guess kigamboni/kwao na jk....kisha isafirishwe china?

Nitawashangaaa kama kuna anayeshabkia ccm!

Mkuu huku ccm wanahesabu maumivu tu maana kila unapo pita ni lowasa lowasa lowasa
 
Mara kuna rafiki yako anakupa hizo habari mara pale chato nyumbani mara msukuma mbunge Geita mjini.Na ukasema Lowassa alijinyea stand Geita wakati aliondoka uwanjani kwa helkopter.Mbona kama choko flani wewe?Au unapigika paipu?

Mwambia mkuu, anatafuta dume
 
Chato nyumbani kwa magufuli Hii ndo maana ya home ground,alienipa habari kuwa wana rock city wanawasubiri akina kiba&mond yuko rock city na alikuwepo kwenye hiyo tour ya wasanii,hakuna mahali nimeandika msukuma mbunge geita mjini,na waliosema mamvi kajinyea ni wananchi waliokuwepo kwenye mkutano wa magufuli pale chato wkt m/kiti ccm mkoa akihutubia sasa unawashwa nanini Dada au kwa7bu wanakupiga paipu hapo kitaa unataka nami nikugeuze nn acha hizo mrembo
Mbona inaoneka leo umefurahia sana sera za CCM za kunya? something is wrong with you.
 
Mkuu mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe. Hujuona chama kinaomba kuchangiwa ITV kama kingekuwa na fedha kiasi hicho ndo wangeomba kuchangiwa?! Sema mnaogopa mafuriko ya kesho ndo mnaanza kujitekenya.

Zumbukuku wewe
 
Daaah,hongera na pole kwa safari mkuu.
Bila shaka kesho utatupa updates nzuri sana kutoka huko....
Tuombe uzima.

Bila shaka mkuu hapa ni dama kwa dama
 
Kwa hili mimi ni CCM lakini nitampigia kura Lowassa. It is so low beyond description. UKAWA mmepata kura yangu.
 
CCM out....

Tumechoka na MATUSI YENU CCM, hatuwataki...

Tokeniiiiii...tokaaaaa...MATUSI mkae nayo makwenu...

CCM ni MATUSI TU... hiki chama kichafu sana sanaaa... majizi haya..!!

Sasa hivi ni sawa kuku aliyekatwa kichwa akawachiwa anavyo ruka ruka ndiyo ccm
 
Ama kweli mwaka huu huu mambo.Wafanyabiashara Mtwara tuliokubali kufunga maduka kila mtu amelipwa Mara 3 ya anachouza kwa siku.Hivi Lowassa anapata wapi pesa?

Mbona mimi nina duka huku, na sijaziona hzo pesa.?
 
Back
Top Bottom