Kero: Wanawake wengi wa Bongo hawaheshimu miadi (appointment)

nyaggad

JF-Expert Member
Dec 28, 2014
1,160
692
Habari wakuu,

Nimefanya kautafiti kangu kafupi nimegundua moja kati ya tabia ya wanawake wengi wa kibongo inayokera ni hili swala la kutoheshimu miadi "appointment".Wanawake wengi wa kibongo hawana utamaduni wa kuheshimu.

Muda na "appointment" kwa mfano
unaweza mkapanga appointment
mkutane sehemu flani saa tisa mchana lakini ukashangaa anakuja saa kumi na moja jioni na akifika.Wala haombi msamaha wa kuchelewa anaona kawaida tu.

Mfano mwingine anaweza akawa mke wako au mpenzi wako unae ishi nae siku mnapanga muende kesho sehemu flani labda saa tatu asubuhi lakini utashangaa mpaka saa tatu
inafika bado anajivutavuta sijui kwa
Nini? Mpaka mnakuja kuondoka saa
nne, hivi kwanini wanawake wa kibongo hamjali muda na miadi inakera kwa kweli.

Wanaume wenzangu mnakabiliana
vipi na hali kama hiyo kwa wanawake wa Bongo? Mimi huwa sipendi kabisa mtu asiyejali muda
na appointment ni vyema mtu kuwa
mkweli kuliko kutoa miadi ambayo
huwezi kuitekeleza.
 
Hahahahaha...aisee inabidi uzoee tu eanaeake wote wapo hivyo. Mimi mke wangu nilikuwa namuacha tu mpk aseme yupo tayari mtu anaweza kujiandaa hata masaa mawili.


Kitu kingine ilikuwa nikienda kkoo na wife tunaweza kuzunguka maduka yotee yeye anachagua tuu halaf utasikia hii sijaipenda wakat kote nguo zipo hivyohivyo usipokuwa mvumilivu unaweza kugombana
 
Hahahahaha...aisee inabidi uzoee tu eanaeake wote wapo hivyo. Mimi mke wangu nilikuwa namuacha tu mpk aseme yupo tayari mtu anaweza kujiandaa hata masaa mawili.


Kitu kingine ilikuwa nikienda kkoo na wife tunaweza kuzunguka maduka yotee yeye anachagua tuu halaf utasikia hii sijaipenda wakat kote nguo zipo hivyohivyo usipokuwa mvumilivu unaweza kugombana
Yani ni shida kwa kweli inahitaji moyo sana kuvumilia!
 
Yaani ndio nimetoka kugombana na mama mmoja hivi, yaani kila tukipanga appointment ya mgegendo huwa inachukuwa wiki na zaidi kukamilika, mfano tulipanga toka jumamosi usiku nile tunda lakini kila siku kunavuka sababu hadi kero.... kumbe tuko wengi aisee
 
Yaani ndio nimetoka kugombana na mama mmoja hivi, yaani kila tukipanga appointment ya mgegendo huwa inachukuwa wiki na zaidi kukamilika, mfano tulipanga toka jumamosi usiku nile tunda lakini kila siku kunavuka sababu hadi kero.... kumbe tuko wengi aisee
Hahaha!, pole Mkuu utafanikiwa tu kuwa na subra kidogo.
 
  • Thanks
Reactions: lup
Kwa muda huwa hawajali kabisa, utakuta kaanza kuoga yeye mwanamke anatoka, baadae unafuata mwanaume lakini cha ajabu mwanaume unamaliza kujiandaa mwanamke bado.

hapo utakuta anatafuta nguo ya kuvaa tu ana nguo zaidi ya mwanaume lakini haoni nguo ya kuvaa
Hahah!,yani ni shida kwa lweli!
 
Mwanamke inabidi apewe masaa 2 ya kujiandaa, wewe kama unamtaka mkutane SAA 10 jion.basi mwambie SAA 8 mchana awe tiyari.

Ingawa kuheshimu muda ni lazima, binafsi Niko makini na muda.

Masaa mawili??? Daaah dakika 120 mkuu mbona nyingi sana???
 
Mwanamke inabidi apewe masaa 2 ya kujiandaa, wewe kama unamtaka mkutane SAA 10 jion.basi mwambie SAA 8 mchana awe tiyari.

Ingawa kuheshimu muda ni lazima, binafsi Niko makini na muda.
Masaa mawili kabla basi inabidi ajiongeze mwenyewe kujiandaa mapema,hongera wewe kwa kujali
Mda.
 
Back
Top Bottom