popo1986
JF-Expert Member
- Jul 30, 2014
- 1,120
- 373
Kwa vipindi kadhaa kumekuwa na matukio mengi ambayo wananchi tulipaswa kuyaona na kuya sikia live toka ktk kituo cha taifa cha utangazaji lkn unaobekana kituo hiki ambacho ni TBC kina elemea upande mmoja wa taarifa hususan Chama cha Mapinduzi yaani CCM.
Sasa sisi wananchi wenye hakivya kuhabalishwa kupitia local chammels kwa kushindwa gharama za Azam tv ambayo umekuwa wazi kuonyesha kila kitu bila ubaguzi sasa .
Nawaachia swali Vp kama UKAWA ukachukua nchi je ? Mkurugenzi na wafanyakazi kwa hizi chuki za wazi kwa matukio ya wapinzani mtabaki hapo kazini? Na kwann muendelee kuwa kipeperushi cha chama fulani?
Kwanini msiwe fair kwa wote?
Hamtutendei haki kam chombo cha taifa..jana mlirusha kipindi cha miziki ya ajabuajabu wakati wa tukio la chadema kitu amvacho mngeweza kurusha live, lkn hamkuthamini.
Hebu tuangalie tuhuma hizi kwa wananchi na mtusaidie katika hilo.
Asante.
Sasa sisi wananchi wenye hakivya kuhabalishwa kupitia local chammels kwa kushindwa gharama za Azam tv ambayo umekuwa wazi kuonyesha kila kitu bila ubaguzi sasa .
Nawaachia swali Vp kama UKAWA ukachukua nchi je ? Mkurugenzi na wafanyakazi kwa hizi chuki za wazi kwa matukio ya wapinzani mtabaki hapo kazini? Na kwann muendelee kuwa kipeperushi cha chama fulani?
Kwanini msiwe fair kwa wote?
Hamtutendei haki kam chombo cha taifa..jana mlirusha kipindi cha miziki ya ajabuajabu wakati wa tukio la chadema kitu amvacho mngeweza kurusha live, lkn hamkuthamini.
Hebu tuangalie tuhuma hizi kwa wananchi na mtusaidie katika hilo.
Asante.