Kero katika saluni za kiume

Kero katika saluni za kiume

Kama kichwa cha habari kinavojieleza...kwakweli kuna tabia za vinyozi hua zina kera sana unapokua umeenda kupunguza nywele...

1; Unakuta kinyozi .anapokea simu anaanza kuongea huku anaendelea na kazi ya kukata nywele au anaweza akastop kazi husika na akaendelea kuongea na simu,na unakuta maongezi ya kipuuzi tu...kwakweli inakera sana!

2; Vinyozi wavivu,yeye kazi yake ni kukuzungusha kichwa kama steering vile anaendesha gari...yani yeye hataki kuzunguka,au hata kuzungusha kiti...kazi yake inakua ni kukuzungusha kichwa utasema anataka kuking'oa...kwakweli inakera.

3; Mashine mbovu mbovu, imekua tatzo sana ktk saloon nyingi skuiz...unakuta mashine inabadili mlio afu kinyozi anastop anachukua screw driver anaanza kuikaza kaza baadhinya nati...ikikaa sawa anaendelea na zoezi hilo ni endelevu...inaboa sana!

4; Kinyozi unakuta anakupitishia waya wa mshine mara shingoni,mara unapita kifuani,mara aushike aurishie kati kati ya miguu yako...inakua kero ...hajui kua ule ni umeme cjui...


Kwakweli kero ni nyingi wadau...leteni zenu hapa nahisi wahusika wakisoma watajirekehisha!
Nyinine ni kukupigisha story
Kuwa na customer care mbovu
 
Kwa taaarifa yako wenye tabia hiyo ni hizo hizo saloon kubwa ndizo zenye vijana wanaijiona, wanaojisikia, wenye tabia ya kujifanya kuwa wanaweza nyoa Kwa kutumia mkono mmoja hizo za 1000 Simu ikiiita hawapokei Kwanzaa ni waoga Kwa wateja
Fact mkuu,unakuta mtu ananyoa huku anaongea kwenye simu,au ana pause anasoma msg afu anaanza kuchekaaaa...ndo anaendelea
 
Kama kichwa cha habari kinavojieleza...kwakweli kuna tabia za vinyozi hua zina kera sana unapokua umeenda kupunguza nywele...

1; Unakuta kinyozi .anapokea simu anaanza kuongea huku anaendelea na kazi ya kukata nywele au anaweza akastop kazi husika na akaendelea kuongea na simu,na unakuta maongezi ya kipuuzi tu...kwakweli inakera sana!

2; Vinyozi wavivu,yeye kazi yake ni kukuzungusha kichwa kama steering vile anaendesha gari...yani yeye hataki kuzunguka,au hata kuzungusha kiti...kazi yake inakua ni kukuzungusha kichwa utasema anataka kuking'oa...kwakweli inakera.

3; Mashine mbovu mbovu, imekua tatzo sana ktk saloon nyingi skuiz...unakuta mashine inabadili mlio afu kinyozi anastop anachukua screw driver anaanza kuikaza kaza baadhinya nati...ikikaa sawa anaendelea na zoezi hilo ni endelevu...inaboa sana!

4; Kinyozi unakuta anakupitishia waya wa mshine mara shingoni,mara unapita kifuani,mara aushike aurishie kati kati ya miguu yako...inakua kero ...hajui kua ule ni umeme cjui...


Kwakweli kero ni nyingi wadau...leteni zenu hapa nahisi wahusika wakisoma watajirekehisha!
Nunua mashine yako mkuu kuondokana na kero
 
Wale warembo wa bitebo ni wazima kweli?

Ngozi zao zinanipa mashaka makubwa
 
Tena hizi ambazo zina Ac unakuta kuna kundi kubwa la watu ambao hawajaja kunyoa wapo tu hata personality zao zinatia mashika, kinyozi ananyoa anapiga story..mara awashe tv mara aweke sauti kubwa ya mziki.... utadhani umemwambia ndio kilichokuleta. ..ukimuelekuza analeta ujuaji.

Imefika hatua nachukia kuingia barber shop simply naingia ka saloon simple and smart kitaa basi.
Saluni nyingi classic na zenye bei za juu unakuta vinyozi si wazoefu... Nilishaingia saluni moja morogoro nikanyolewa kibwenzi si cha nchi hii.

Mi nanyoa tu saluni za kawaida uswahilini. Nanyolewa vizuri mno tofauti na haya ma- Barbershop viti vizuri na mbwembwe nyingi lakini hamna kitu.
 
Unaweza ukamkuta jamaa ambaye unatetesi ana ngoma au muasherati kupindukia halafu akitoka kunyolewa yeye unafuata wewe

Mimi hua natokaga nduki
 
Juzi ilinitoka elfu kumi na tano kunyoa dongo bapoja na scrub roho iliniuma sana
 
Jiweni tu toka asili salon ni kijiwe na tena wengine ndio sehemu za ushquri nasaha kwa matatizonyote iwe ya ndoa au ya kawaida kimaisha .
Huduma hii sasa iko pub na kwenye mabar ati watu wanashauriana over a bpttle of beer tena wameshafikisha bia ya kumi ndio wanaombana ushauri sasa wakitoka hapo kwenda kutekeleza ushauri wa kilevi ndio majanga!
Kwa wenzetu wa kike wao salon ni sehemu ya kupeana ubuyu tu na mmiliki wa salon huwa ndie mshauri wao mkuu japo hakuna jitu chonganishi nafiki ongo kama dada la salon mkeo akijichanganya nae bas jua utaacha mke au utagongewa tu maana kwa ukuwadi wa wake za watu hawajambo
 
Back
Top Bottom