Kero katika saluni za kiume

Kero katika saluni za kiume

Daaah we kijana leo umetoa article poa sana kwani tabia #4 me niliwahi kupigwa na Short aisee Shavuni ila niliambuli kunyolewa bure na Pole, Sasa sijui ningezimia ingekuwaje
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
huwa nna kinyoz mmoja tu anayekiweza hiki kichwa, nikifika anajua nnachotaka,, ila namkazia siku mojamoja kuwa hayo matimberland uyapunguze kidooogo,, nitokee kama mnyama fally ipupa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
unajua sie wengine ni kama wateja permanent,, kwa hiyo baada ya mishemishe za hapa na pale,, jion jion tunaibuka babershop kutia story mbili tatu,, na tunakaa kwa nje kuna kasofaa flan ivi, ila wale wanao kaa ndani kutia story wanakosea sana
 
Mara Anakadamiza Sana Mashine Kwenye Paji La Uso Anakochonga Nywele Baada Ya Muda Mistari Ya Mashine Huonekana Uliumizwa. Mara Anakata Ndevu Kwa Uchungu, Mara Haoshi Mashine Kwa Spiriti Baada Ya Kumaliza Kunyoa
mkuu hapo kwenye moshi ni chai bwanaa[emoji23]
 
Mara Anakadamiza Sana Mashine Kwenye Paji La Uso Anakochonga Nywele Baada Ya Muda Mistari Ya Mashine Huonekana Uliumizwa. Mara Anakata Ndevu Kwa Uchungu, Mara Haoshi Mashine Kwa Spiriti Baada Ya Kumaliza Kunyoa
 
Mara Anakadamiza Sana Mashine Kwenye Paji La Uso Anakochonga Nywele Baada Ya Muda Mistari Ya Mashine Huonekana Uliumizwa. Mara Anakata Ndevu Kwa Uchungu, Mara Haoshi Mashine Kwa Spiriti Baada Ya Kumaliza Kunyoa
 
Akiona machine haikati anatest kwenye mkono wake halafu anakunyolea wewe
 
Kama kichwa cha habari kinavojieleza...kwakweli kuna tabia za vinyozi hua zina kera sana unapokua umeenda kupunguza nywele...

1; Unakuta kinyozi .anapokea simu anaanza kuongea huku anaendelea na kazi ya kukata nywele au anaweza akastop kazi husika na akaendelea kuongea na simu,na unakuta maongezi ya kipuuzi tu...kwakweli inakera sana!

2; Vinyozi wavivu,yeye kazi yake ni kukuzungusha kichwa kama steering vile anaendesha gari...yani yeye hataki kuzunguka,au hata kuzungusha kiti...kazi yake inakua ni kukuzungusha kichwa utasema anataka kuking'oa...kwakweli inakera.

3; Mashine mbovu mbovu, imekua tatzo sana ktk saloon nyingi skuiz...unakuta mashine inabadili mlio afu kinyozi anastop anachukua screw driver anaanza kuikaza kaza baadhinya nati...ikikaa sawa anaendelea na zoezi hilo ni endelevu...inaboa sana!

4; Kinyozi unakuta anakupitishia waya wa mshine mara shingoni,mara unapita kifuani,mara aushike aurishie kati kati ya miguu yako...inakua kero ...hajui kua ule ni umeme cjui...


Kwakweli kero ni nyingi wadau...leteni zenu hapa nahisi wahusika wakisoma watajirekehisha!


Hela ni zakom ya nini unajisumbua? Ukina kinyozi haeleweki mgombeze ataacha.
 
Me napenda pale tunapopiga mastory yetu ya kiume huku nanyoa nakua naburudika haswaaaa akiingia mwanamke tu story zinabadilika ghafla
 
Wewe bado unaenda Salon, siku hizi kuna Babershops unahudumiwa na professionals mpaka zile huduma ukihitaji unapatiwa
 
Back
Top Bottom