Gentleman P
JF-Expert Member
- May 23, 2018
- 370
- 454
Noted. Otherwise him ligi ingekuwa ndefu mnoMkuu with all due respect naomba tuishie hapa, kama bibi harusi anaweza pambwa babershop nijibu kama haiwezekani nikaushie usijibu
Noted. Otherwise him ligi ingekuwa ndefu mnoMkuu with all due respect naomba tuishie hapa, kama bibi harusi anaweza pambwa babershop nijibu kama haiwezekani nikaushie usijibu
hahahaha wabongo wengi hawajui customer care poaJuzi kati nmeenda salon,baada ya kunyoa mdada anaanza kunilazimisha kunofanyia scrub...yani anaforce kabisa instead of using a customer care language...nkasema duh hili tatzo. Namwambia anioshe tu kichwa inatosha haelewi! Nkaamua kua mkaksi ...ila nilikereka na hii kitu yani utasema lazma kufanya scrub afu bei yake sasa...upuuzi sana huu
Haha mkuu skuiz muda ni mali! Afu wale vinyozi wanachafua mazingira [emoji16]Kwa kinyozi, ndo poa chini ya mwembe, kioo kimening'inizwa kwenye shina.
Wembe, mkasi, mashine isiyo ya Umeme, maji kidogo daaaah ukimaliza kinyozi anachukua kioo kingine kisha anaweka nyuma yako unajiona kichogo.
Jamaa ni kiboko haswa walikuwa WAMAKONDE.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kuna hili la kulazimishana kukandwa na maji ya moto,mwenyewe anaogopa kushika kile kitambaa kilivyo cha moto. Lakini anataka kukukanda nacho usoni. Nilitaka kumpiga dada mmoja. Bila haya ananiambia mie mshamba,mshamba kwenye kuunguzwa?
Salon sio kiswahili jamani, tutumie neno la kiswahili-Chegani
Kuna mmoja kidogo aninyoe nyusi wiki iliyopita , ananinyoa huku anaangali sultan azam , sirudi ngooUnakuta umemuelekeza akunyoe style flani,jamaa unakuta anaongea mpaka anapindisha tofauti na ulivyomuelekeza,unajiuliza huyu anawezaje kufanya vitu vyote kwa wakati mmoja,huku ananyoa,huku anapiga story na huku anaangalia TV ukutani..!
Wewe ni mimi kabisa mkuu, tena huwa nampigia simu kufanya booking asiuze siti, mimi huwa nahama salon tu kumfuata yeye lakin kunyolewa na kila kinyozi siwezi aiseehuwa nna kinyoz mmoja tu anayekiweza hiki kichwa, nikifika anajua nnachotaka,, ila namkazia siku mojamoja kuwa hayo matimberland uyapunguze kidooogo,, nitokee kama mnyama fally ipupa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mimi pia hufanya hivyo,ila inanipotezea muda sana,hasa napokuwa ugeniniNikienda salon nikikuta kuna kundi la watu ndani, naondoka
Nikienda salon nikimkuta kinyozi kanyoa na kuvaa kihuni naondoka..
Mimi pia hufanya hivyo,ila inanipotezea muda sana,hasa napokuwa ugeniniNikienda salon nikikuta kuna kundi la watu ndani, naondoka
Nikienda salon nikimkuta kinyozi kanyoa na kuvaa kihuni naondoka..
Hapa tupo kundi moja, Mimi hua naonekana mbaguzi lakini sitaki kila mtu anyoe kichwa changuWewe ni mimi kabisa mkuu, tena huwa nampigia simu kufanya booking asiuze siti, mimi huwa nahama salon tu kumfuata yeye lakin kunyolewa na kila kinyozi siwezi aisee
Kwa taaarifa yako wenye tabia hiyo ni hizo hizo saloon kubwa ndizo zenye vijana wanaijiona, wanaojisikia, wenye tabia ya kujifanya kuwa wanaweza nyoa Kwa kutumia mkono mmoja hizo za 1000 Simu ikiiita hawapokei Kwanzaa ni waoga Kwa watejaPole sana mkuu.... tafuta sloon za hadhi yako hizo za uswahilini achana nazo...kama unatimia bei ya 1000 kunyoa lazima upate usumbufu huo