Gentleman P
JF-Expert Member
- May 23, 2018
- 370
- 454
Msiwalaumu wanyozi,...hiyo kazi ina gharama zake; lazima kinyozi awe update na kinachoendelea worldwide...iwe ni siasa, mpira , etc. ili in case ukamuuliza kitu jibu ni hapo hapo...ndo utamu wa saluni.