Kero katika saluni za kiume

Kero katika saluni za kiume

Kuna boya mmoja alijifunziaga kwenye kichwa changu asee nilikasilika siku it

Tangu siku iyo ata nikisafir nasubil mpaka napo rudi kwenda kwenye salon moja tu niliyo izoea.

Pili Kuna jamaa alikua ni fundi wangu wa kichwa lakin Kuna siku nikaenda sikujua Kama alikua ametupia monde,tungi Pombe asee alivuruga kwenye kunyoa mpaka kuchonga

Tangu siku iyo sikurud Tena kwake
 
Ninachoshukuru nanyoa style moja tu nywele zote ndogo za kitana size moja, kidevuni ndevu kidogo basi siungi timber nakata nusu sasa hapo sina tatizo na kinyozi natazama tu huduma ya kuoshwa. Nikienda saloon waoshaji wanaongea sana kuliko kazi sirudi tena, kulazimishwa service never mpaka nitake mwenyewe. Now kuna saloon bomba kiti unakuta kinafanya massage huku unaendelea kunyolewa acha tu
 
siku moja nilikuwa sinza nilitafuta kinyozi aninyoe unajua sinza vinyozi ni wengi . lakini kila nikitaka kuingia sehemu ya kunyoa roho inakataa naenda pengine hivyo hivyo mwisho nikamwona kinyozi an kichumba kidogo nikasema nijaribu hapa ndugu zangu huyo kinyozi ni mzuri sijawahi kuona anakutoa vizuri kupita ulivyotaka wewe nimewakuta watu wanatoka kibaha kuja kunyolewa pale hata mimi natoka tegeta namfuata yeye tu . nendeni mkajaribu utakubaliana na mimi. yupo pale sinza unaona msikiti wa palestina geti zinapoingia gari na kuna watu wanauza ndizi simama mlangoni kuna kivuko cha watu vuka nenda upande wa pili wa barabara kuna mti mkubwa hapo hapo anatazamana na msikiti. huyu jamaa nimemvulia kofia kwa kunyoa
 
Kama kichwa cha habari kinavojieleza...kwakweli kuna tabia za vinyozi hua zina kera sana unapokua umeenda kupunguza nywele...

1; Unakuta kinyozi .anapokea simu anaanza kuongea huku anaendelea na kazi ya kukata nywele au anaweza akastop kazi husika na akaendelea kuongea na simu,na unakuta maongezi ya kipuuzi tu...kwakweli inakera sana!

2; Vinyozi wavivu,yeye kazi yake ni kukuzungusha kichwa kama steering vile anaendesha gari...yani yeye hataki kuzunguka,au hata kuzungusha kiti...kazi yake inakua ni kukuzungusha kichwa utasema anataka kuking'oa...kwakweli inakera.

3; Mashine mbovu mbovu, imekua tatzo sana ktk saloon nyingi skuiz...unakuta mashine inabadili mlio afu kinyozi anastop anachukua screw driver anaanza kuikaza kaza baadhinya nati...ikikaa sawa anaendelea na zoezi hilo ni endelevu...inaboa sana!

4; Kinyozi unakuta anakupitishia waya wa mshine mara shingoni,mara unapita kifuani,mara aushike aurishie kati kati ya miguu yako...inakua kero ...hajui kua ule ni umeme cjui...


Kwakweli kero ni nyingi wadau...leteni zenu hapa nahisi wahusika wakisoma watajirekehisha!
Nyingene saw!!!ila nmba nne umezingua kuharibika kwa mashine ni dharula wew unakereka na kuitenge unataka unyolewe ikiwa mbovu hivyo hivyo.
 
Napendaga wale toyoz kwenye salon wanaoosha nywele. Hasa wa Sinza. Kushika papuchy ni hiari yako. Ila tu umpe hela ya soda.
 
Nyingene saw!!!ila nmba nne umezingua kuharibika kwa mashine ni dharula wew unakereka na kuitenge unataka unyolewe ikiwa mbovu hivyo hivyo.
Mkuu mashine mbovu unaiona kabisa...inanguruma vbaya
 
Back
Top Bottom