Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

WE BABA UNA ROHO YA KISHETANI HATA KANISANI KOMA IWE MWIKO KWENDA USIJE TENA.

WATU TUSITAKIANE MEMA? TUSIJULIANE HALI? TUSIFUNZWE?
WATU TUMEKENGEUKA SANA SIKU HIZI TUMEKUWA WANYAMA

WE BABA KOMA HAMIA MORAVIAN
We ndio shetani mwenye mkia.
Moravian hakuna matstizo kama yako.
 
Nadhani hapa kuna jambo muhimu la kutenganisha: Kanisa Katoliki, liturujia yake, na namna Padre fulani anavyoendesha Misa si vitu vinavyoweza kuwekwa kwenye kapu moja.

Kama kuna Padre ambaye ana tabia ya kuzungumza sana nje ya sehemu zinazotakiwa, kurudia mambo, au kuingiza maelekezo mengi wakati wa kutakiana amani, hilo linaweza kuwa kero halali kwa mtu binafsi, lakini si sahihi kulihusisha moja kwa moja na Kanisa Katoliki kwa ujumla kana kwamba hayo ndiyo mafundisho au mwongozo wa Kanisa.

Misa ya Kanisa Katoliki ina muundo na taratibu zake za kiliturujia. Kuna sehemu maalum ya Liturujia ya Neno na homilia, kuna matangazo, na kuna sehemu ya ishara ya amani. Kwa hiyo, kama kinacholalamikiwa ni namna Padre fulani anavyovitumia vipengele hivyo, basi hoja ielekezwe kwenye utekelezaji wa liturujia na si Kanisa lenyewe.

Pia, kuhusu kutakiana amani, Kanisa lina utaratibu wake. Ikiwa Padre anaongeza maelekezo mengi kama “mwambie jirani yako hiki, mpe mkono, mwambie hiki...” na mtu anaona hilo linamtoa kwenye tafakari ya Misa, anaweza kuliona hilo kama jambo lisilomsaidia kiroho. Lakini hilo halimaanishi kwamba ishara ya amani yenyewe haina nafasi katika Misa.

Na kama kweli kuna jambo linalokwaza katika namna Misa inavyoendeshwa, Kanisa lina utaratibu wa kulifikisha jambo hilo kwa wahusika husika—kuanzia kwa Padre, viongozi wa parokia, au mamlaka nyingine za Kanisa inapobidi. Hiyo ni njia yenye kujenga zaidi kuliko kuleta mjadala kwa namna inayoweza kuonekana kama ni hukumu kwa Kanisa lote.

Kwa hiyo ningeshauri tuwe makini na kauli kama “hiki kinanikera kanisani” halafu tukafanya kana kwamba hilo ndilo Kanisa Katoliki. Kama kero ni ya Padre wako, sema ni ya Padre wako. Kama ni utaratibu wa parokia fulani, sema ni wa parokia hiyo. Usiiweke kwenye Kanisa Katoliki kwa ujumla bila msingi.

Na kusema “kero” si tatizo lenyewe; Mkristo anaweza kabisa kuwa na jambo linalomkwaza na kulizungumzia. Kinachotakiwa ni kulizungumza kwa uelewa wa liturujia, kwa usahihi, na kwa nia ya kujenga, si kutumia kasoro ya mtu mmoja kama kipimo cha Kanisa zima.

Mwisho kabisa, lengo la Misa ni Kristo. Lakini kulinda heshima ya Kristo katika Misa hakumaanishi tunapaswa kuishambulia Kanisa kwa sababu hatupendi namna Padre fulani anavyoendesha baadhi ya vipengele vya Misa.
 
NB.UZI NI KWA WAKRISTO WAKATOLIKI TU.

Kuna baadhi ya mambo huwa yananikwaza kiukweli kanisani wakati wa misa.
1.Padri kuhubiri wakati ambao sio wa mahubiri. Yani padri misa inaanza tu maneno kibaoo. Muda wa mahubiri anaongea sanaaa, vitu vilevile, muda wa kumaliza misa anaanza tena kupiga porojo zizizo na msingi. Muda wa matangazo anaanza tena upya. Yani very selfish na inconsiderate.
2. Muda wa kutakiana amani, hakuna kitu SIPENDI kama padri kuanza kulazimisha watu waambiane kitu na kupeana mikono, mfano, mwambie jirani yako blah blah, Yani kinanikwazaga sana hiki kitu, hakina umuhimu Wala ulazima kiliturjia.

Vingine vipi ila kwa haraka ni hivi. Vinapoteza sana focus ambaye inatakiwa iwe ni kwa Yesu. Au Kama Kuna vingine ongezeni, Kama ninakosea pia nisahihishwe.
Padri ni sawa kabisa na nahodha awapo majini, yeye ndiye mwenye mamlaka ya mwisho juu ya uendeshaji wa chombo chake cha majini. Ukiwa kama abiria huna unachoweza kufanya juu ya mwendo wa chombo chake.

Ukiwa kama muumini punguza makasiriko juu ya jinsi ya padri wa zamu anavyoendesha ibada yake. Wewe jikite katika maudhui ya ibada ya misa huna unachoweza kufanya kuhusu uendeshaji wa misa husika.

Cha msingi toa sadaka nono, toa michango ya kutosha ya jimbo na parokia, tembelea na kusaidia wagonjwa, yatima, na wafungwa, hapo utapata amani ya moyo.
 
NB.UZI NI KWA WAKRISTO WAKATOLIKI TU.

Kuna baadhi ya mambo huwa yananikwaza kiukweli kanisani wakati wa misa.
1.Padri kuhubiri wakati ambao sio wa mahubiri. Yani padri misa inaanza tu maneno kibaoo. Muda wa mahubiri anaongea sanaaa, vitu vilevile, muda wa kumaliza misa anaanza tena kupiga porojo zizizo na msingi. Muda wa matangazo anaanza tena upya. Yani very selfish na inconsiderate.
2. Muda wa kutakiana amani, hakuna kitu SIPENDI kama padri kuanza kulazimisha watu waambiane kitu na kupeana mikono, mfano, mwambie jirani yako blah blah, Yani kinanikwazaga sana hiki kitu, hakina umuhimu Wala ulazima kiliturjia.

Vingine vipi ila kwa haraka ni hivi. Vinapoteza sana focus ambaye inatakiwa iwe ni kwa Yesu. Au Kama Kuna vingine ongezeni, Kama ninakosea pia nisahihishwe.
Ukishaiweka hapa hiyo ni ya wote. Huna haki ya juweka mipaka hii ni kwa nani au nai tu.

Ukitaka iwe kwa Wakristo Wakatoliki tu, itisha kikao kanisani.
 
NB.UZI NI KWA WAKRISTO WAKATOLIKI TU.

Kuna baadhi ya mambo huwa yananikwaza kiukweli kanisani wakati wa misa.
1.Padri kuhubiri wakati ambao sio wa mahubiri. Yani padri misa inaanza tu maneno kibaoo. Muda wa mahubiri anaongea sanaaa, vitu vilevile, muda wa kumaliza misa anaanza tena kupiga porojo zizizo na msingi. Muda wa matangazo anaanza tena upya. Yani very selfish na inconsiderate.
2. Muda wa kutakiana amani, hakuna kitu SIPENDI kama padri kuanza kulazimisha watu waambiane kitu na kupeana mikono, mfano, mwambie jirani yako blah blah, Yani kinanikwazaga sana hiki kitu, hakina umuhimu Wala ulazima kiliturjia.

Vingine vipi ila kwa haraka ni hivi. Vinapoteza sana focus ambaye inatakiwa iwe ni kwa Yesu. Au Kama Kuna vingine ongezeni, Kama ninakosea pia nisahihishwe.
Wee jamaa ni takataka!
 
Kwa maelezo yako wewe sio mkatolic labda mkatolic wa mtandaoni. Padri anapata wapi mda wakuzunguza porojo wakati wa misa wakati anaenda na ratiba? Muda pekee ambaye padri huzungumza alichokiandaa ni muda wa mahubiri na kidogo sana tena sio lazima ni baada ya misa.

Wewe sio mkatoliki sababu katoliki huwa wanaenda na muda kama misa ya kwanza ni saa kumi na mbili na nusu asubuhi misa ya pili ni saa 2 kamili asubuhi na haitokei ratiba hii ikavunjwa kwa matakwa ya padri sasa padri atapata wapi mda wa porojo? Na maswala ya geukia jirani muambie neno lolote hiyo katholic haipo na muda wa kutakiana aman siku hizi hakuna kupeana mikono zaidi ya kuinamisha vichwa.
 
WE BABA UNA ROHO YA KISHETANI HATA KANISANI KOMA IWE MWIKO KWENDA USIJE TENA.

WATU TUSITAKIANE MEMA? TUSIJULIANE HALI? TUSIFUNZWE?
WATU TUMEKENGEUKA SANA SIKU HIZI TUMEKUWA WANYAMA

WE BABA KOMA HAMIA MORAVIAN
Mtasalimiana misa ikiisha. Utakuwa huelewi maana ya misa. Pia sijakataa mahubiri utakuwa uelewa mdogo.
 
Kwa maelezo yako wewe sio mkatolic labda mkatolic wa mtandaoni. Padri anapata wapi mda wakuzunguza porojo wakati wa misa wakati anaenda na ratiba? Muda pekee ambaye padri huzungumza alichokiandaa ni muda wa mahubiri na kidogo sana tena sio lazima ni baada ya misa.

Wewe sio mkatoliki sababu katoliki huwa wanaenda na muda kama misa ya kwanza ni saa kumi na mbili na nusu asubuhi misa ya pili ni saa 2 kamili asubuhi na haitokei ratiba hii ikavunjwa kwa matakwa ya padri sasa padri atapata wapi mda wa porojo? Na maswala ya geukia jirani muambie neno lolote hiyo katholic haipo na muda wa kutakiana aman siku hizi hakuna kupeana mikono zaidi ya kuinamisha vichwa.
Tembea uone.
 
Asante Sana mtumish kwa kuniita

Ibada inapoanza anacho anza nacho padre huwa siyo mahubiri Bali ni utambulisho wa ibada kuhusu ibada ya siku hiyo inalenga nini? Na masomo pia yanahusu nini na ni kwanini pia tumekutana je MUNGU anasemaje siku hiyo katika maandiko

Kuhusu padre kububiri baada ya ibada kuisha huwa inakuja kama kukazia yale mahubiri yake lakin pia unakuta Kuna point alizisahau wakati wa mahubiri hivyo lazima azikazie ili kwenda sawa

Sasa shida ya mleta maada yeye ni wale wa mangumangu

Basi tuendelee kuwaombea wakristo wenzetu wasiojiweza

Yaan mkristo hataki hata kutakiana amani na wakristo wenzie hii ni changamoto
Anakazia nini bana we kukerana tu. We mtu ushamaliza maliza. Straight to the point. Blah blah tu. Alafu kutakiana amani sijakataa ila kuna ile anawaambia mwambie jirani yako......SIPENDI. Ni dukuduku langu.
 
Back
Top Bottom