Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 3,567
- 10,554
Kwanza Maji yenyewe mnayatoa kwa mgao (Hamjatangaza tu), huku Tabata hasa Kinyerezi maji mnabangaiza kuyatoa. Mkijiskia ndio mnayaachia hamfati ratiba inayoeleweka.
Nirudi sasa kwenye KERO.
Mnatuma sana SMS zenu kila muda mnatuma hayo madude yenu. Kuweni na weledi basi na mkiwa mnafanya Automation mshirikishe wadau/wateja wawape mawazo yao.
Mnatuma sana hizo SMS zenu za kipuuuzi. Sasa wengine tumeunga nyumba mbili au zaidi kwa namba moja ya simu. Na kila nyumba itumiwe SMS 20 kwa siku hivi tutafika kweli?.
Tengenezeni User portal mteja awe anaingia huko na kuruhusu notifications kama anataka. Na kama hataki ana disable tu. Na malipo yote yanafanyika huko huko kwa kuunganisha API ya DAWASA na hizi API's za Mitandao ya Simu na Banks kama walivyofanya watu wa betting.
Haya maswala ya kutumiana SMS 20 kwa siku tutakuja kuonana wabaya.
Nimemaliza.
Nirudi sasa kwenye KERO.
Mnatuma sana SMS zenu kila muda mnatuma hayo madude yenu. Kuweni na weledi basi na mkiwa mnafanya Automation mshirikishe wadau/wateja wawape mawazo yao.
Mnatuma sana hizo SMS zenu za kipuuuzi. Sasa wengine tumeunga nyumba mbili au zaidi kwa namba moja ya simu. Na kila nyumba itumiwe SMS 20 kwa siku hivi tutafika kweli?.
Tengenezeni User portal mteja awe anaingia huko na kuruhusu notifications kama anataka. Na kama hataki ana disable tu. Na malipo yote yanafanyika huko huko kwa kuunganisha API ya DAWASA na hizi API's za Mitandao ya Simu na Banks kama walivyofanya watu wa betting.
Haya maswala ya kutumiana SMS 20 kwa siku tutakuja kuonana wabaya.
Nimemaliza.