ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Ndio uamuzi bora na pekee kupelekea taifa lenu kuishi kwa amani,ni bora mkalinde amani mipakani kuliko kuingia ndani ya ardhi ya Somalia na kupambana na Magaidi
Hakika vita ya namna hii haina ushindi kwenu kama taifa zaidi ya majuto...tukumbuke taifa kubwa LA marekani walipoona mambo yamewawia vigumu somalia walifungasha virago na kurudisha majeshi nyumbani!sembuse nyie?
Sababu za kisiasa zisiwafanye wakenya mzidi kupoteza damu za RAIA wasio hatia miaka nenda rudi,hili sasa lifikie mwisho!
Ni sawa na MTU timamu unarushiana mawe na mwendawazimu ili hali umo ndani ya nyumba ya vioo!
Poleni sana jirani na hasa wale waliopoteza wapendwa wao katika shambulio hili
Mwenyezi mungu awalaze pema peponi marehemu wote walohusika na shambulizi hizi.
Pole sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika vita ya namna hii haina ushindi kwenu kama taifa zaidi ya majuto...tukumbuke taifa kubwa LA marekani walipoona mambo yamewawia vigumu somalia walifungasha virago na kurudisha majeshi nyumbani!sembuse nyie?
Sababu za kisiasa zisiwafanye wakenya mzidi kupoteza damu za RAIA wasio hatia miaka nenda rudi,hili sasa lifikie mwisho!
Ni sawa na MTU timamu unarushiana mawe na mwendawazimu ili hali umo ndani ya nyumba ya vioo!
Poleni sana jirani na hasa wale waliopoteza wapendwa wao katika shambulio hili
Mwenyezi mungu awalaze pema peponi marehemu wote walohusika na shambulizi hizi.
Pole sana.
Sent using Jamii Forums mobile app