Kenya wapo lakini ugomvi wao mkubwa na al Shabab ni kule kwenda kivita. Hawa AMISOM ni tofauti na Jeshi la Kenya lilipoenda kule. Ndiyo maana katika video yao wamesema Kenya wameingia vita wasiyoijua.Sikumbuki na wala sitakiwi kubisha kuwa Kenya walienda kivyao.
Je, baada ya Kenya kufika huko hawakujumuishwa ndani ya AMISOM?
Nashauri, tuwe tunajaribu kufanya utafiti.
Mimi nimezitaja nchi zinazochangia vikosi baada ya kupitia kwenye tovuti ya AMISOM, na Kenya imo. Sasa naona nimedanganywa. Au hii tovuti haiko updated.
Pitia tovuti hii ya AMISOM; AMISOM
Chini kabisa utaona vikosi, naambatanisha na screenshot;View attachment 1000041
Sent using Jamii Forums mobile app