Majaji wa Kenya wanapatikana baada ya kufanyiwa vetting kali, sio hakimu anaagizwa awafunge jela wapinzani eti ndio apewe ujaji na rais, never.
Pia katiba yao imeundwa kwa kuangalia maslahi mapana ya nchi na sio kulenga kubeba chama fulani kiendelee kutawala kwa ghiliba.
Ukitaka kuthibitisha utofauti wa judiciary ya Kenya na hii ya hapa kwetu, jaribu kusoma judgment ya mahakama za Kenya kisha usome za hapa halafu draw your conclusion.
Tanzania mahakama ni sehemu ya serikali na serikali inaingilia mahakama wakati wowote ikiona kuna haja kwao kufanya hivyo kitu ambacho Kenya hakipo kabisa kwani Kenya mbele ya sheria serikali na raia wa kawaida ngoma ni droo. Kwa hali hii tuliyonayo tuko nyuma ya Kenya kwa miaka 50.