BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,120
Mazungumzo ya dakika za mwisho kutafuta mwafaka wa suala chini ya Rais wa Nchi hiyo, yalishindwa kuizuia Serikali ya mrengo mkali wa kulia inayoongozwa na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kuendelea na hatua za kupata maamuzi ya Kura hiyo.
Mapendekezo yaliyopo kwenye Muswada wa Sheria hiyo yataruhusu Bunge kubatilisha uamuzi wowote wa Mahakama Kuu hasa kwenye masuala yanayohusu Serikali, pia Bunge litakuwa na uamuzi wa mwisho katika kuchagua Majaji.