joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Wadau, mtakumbuka kwamba Kenya ilizuia raia wa Tanzania na Somalia kuingia Kenya kama jitihada za kuwakinga wakenya dhidi ya maambukizi ya Corona.
Wakenya wanaamini kwamba Somalia na Tanzania zina idadi kubwa ya maambukizi kwasababu tofauti, wakati wakidai Somalia iko na machafuko ya ndani yanayozuia kufanikisha mapambano ya Corona kuwa na ufanisi, Tanzania inalaumiwa kwa kutochukua hatua zozote za kupambana na Corona Kama ambavyo Kenya na nchi zingine zilivyofanya.
Kitendo cha Kenya kuirudisha Tanzania katika orodha ya nchi salama/ zenye kiwango kidogo cha maambukizi ya Corona bila kuirudisha Somalia, wakati Tanzania haijafanya lolote tofauti linaloweza kutumika kama kigezo cha kuirudisha, hii ni ishara gani?, kwanini Kenya isingezirudisha nchi zote mbili kwa pamoja? Ujirani na mahusiano ya kikanda yatakuwaje?
Wakenya wanaamini kwamba Somalia na Tanzania zina idadi kubwa ya maambukizi kwasababu tofauti, wakati wakidai Somalia iko na machafuko ya ndani yanayozuia kufanikisha mapambano ya Corona kuwa na ufanisi, Tanzania inalaumiwa kwa kutochukua hatua zozote za kupambana na Corona Kama ambavyo Kenya na nchi zingine zilivyofanya.
Kitendo cha Kenya kuirudisha Tanzania katika orodha ya nchi salama/ zenye kiwango kidogo cha maambukizi ya Corona bila kuirudisha Somalia, wakati Tanzania haijafanya lolote tofauti linaloweza kutumika kama kigezo cha kuirudisha, hii ni ishara gani?, kwanini Kenya isingezirudisha nchi zote mbili kwa pamoja? Ujirani na mahusiano ya kikanda yatakuwaje?