Kenyan-Tanzanian
JF-Expert Member
- Nov 7, 2006
- 302
- 2
Kabla ya uchaguzi niliwahi kuongea na jamaa mmoja Mkikuyu wa Kenya nikimwambia kuwa kulingana na maendeleo ya kampeini na jinsi ambavyo Kibaki alikuwa ameboronga katika kipindi chake cha kwanza, ni dhahiri kuwa safari hii upinzani ungeshinda. Jamaa alicheka sana na kusema niache ndoto ya aina hiyo kwa sababu hadhani kama viongozi wa juu wa dola kama mkuu wa majeshi, IGP na jaji mkuu watakubali kufanya kazi chini ya mtu ambaye hakutahiriwa!
Inaelekea maneno ya aina hiyo yalikuwa pia yanaongelewa kwenye kampeini huko nyumbani na huenda ndiyo yamesaidia kuchochea mapigano hayo.
Ukweli mtupu. Hebu fikiria hasira ya wale waBongo ambao jimbo lao linapakana na Burundi na Rwanda. Baada ya kuwapatia hifadhi wakimbizi wa nchi hizi jirani, wakimbizi hawa hawa walianza kuwadharau waBongo na hata kukataa kurejea makwao kwa miaka miwili au mitatu iliyopita. Sintofahamu hizi wakuu mnazielewa.
Basi jamii fulani Kenya ambayo mkuu umeitaja hapo juu, ina mazoea ya kujiona bora kuliko hata wale ambao wameipatia makazi kwenye majimbo yao. Ni hii chuki na "siasa duni" ambayo ilianzishwa na wakoloni ambayo leo tunavuna matunda yake. Elections hii ilikuwa a "decisive" vote ya kuhakikisha tumejikomboa dhidi ya matamshi na mentality ya jamii ya huyo unayemzungumzia hapo juu Kichuguu. Sasa walipoiba kura na kwakweli wakapewa sapot na CJ, Jeshi, etc walidhibitisha wazi kwamba wanawadharau wananchi wenzao kiasi kwamba wanawezateka nchi nyara na poasipo mtu kutenda lolote. Ole wao, wanajionea kwamba wakenya hawakotayari kuongozwa nao. Wacha Raila na kutotahiriwa kwake atuongoze. Jamii yangu ilimsapot Raila 85% ingawaje wanatahiri, na waKalenjin, waMasai, waswahili, wasomali wote hawa wanatahiri nawanamtambua Raila. Kwa hiyo mentality ya majority ya kabila ya Kibaki ndio kansa inayowakula sasa. Muhimu ni kukumbuka eti baada ya Kibaki wanataka kumsapot Uhuru in 2012 ili power ibaki mikononi mwao. Kwa kifupi hizi ni mbegu za Internal colonialism ambayo matunda yake tumeyaona huko Rwanda na Burundi. Ukijiona bora kuniliko basi kwanini unahamia kwetu? Mbona usibaki mkoani au jimbo lenu kwenye mumeendelea? ODM na Majimbo constitution ndio dawa ya wanafiki hawa. Wakishapata jimbo lao basi wanaweza mchagua Kibaki awatawale huko. Ila kwa sasa, wanapata challenges from all the regions: jana jioni walisafirisha genge lao (militia) haramu liliondwa kwa msingi wa Mau Mau liitwalo Mungiki eti kuenda Nakuru nakufurusha makabila yasiyounga Kibaki mkono. Walipata wajanja. Vijana wa Kikalenjin, wakiluhya na wajaluo waliungana mara moja na kuwawekea mitego. Isingalikuwa jeshi kutumiwa kinyume ya sheria kusaidia kwenye mzozo wa ndani ya nchi leo alasiri hawa maharamia wangemalizwa. Idadi ya wavamizi hawa walioangamia kwenye revenge mission yao iliyotibuka sasa ni 19 na bado namba inapanda. Umoja ni nguvu. Umoja wa makabila mengi ni nguvu zaidi dhidi ya necolonialists au wakolonimamboleo wanautuzulumu na kutunyanganya haki yetu.
Picha hapa chini: Vijana waliovamiwa na genge haramu za Mungiki/PNU wakipambana nao vilivyo jana saa 11 hivi: