Kelele zimesaidia.. Hatimaye amedakwa

Kelele zimesaidia.. Hatimaye amedakwa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
361,168
Reaction score
831,913
IMG-20180123-WA0054.jpg
 
Mbona wa lissu ajadakwa?


Mwingulu leo kapata sehemu.ya kiki saa tano asubuhi hata watu bado wamelala kakimbilia kwenye media mitandao fb kaita wahandishi wa habari kutafuta kiki lakini kwa ndungu yake wa karibu na mbunge mwenzake na ni majirani isitoshe wanaingiliana kabila lakini alikuwa BUBU hadi leo kupigwa risai kwa MhTUNDU LISSU shame on you


$wissme
 
Ndo kazi wanayoiweza hua polisiccm. Mcheki afande Juma pembeni ya kamanda Siro aliyevaa kiraia, hata mkanda aliovaa hauja match na zipu ya suruali, sijui ndo bado ana pombe za jana usiku.
 
baba mwenye nyumba kuzaa na house girl ruksa! sio dhambi! kipindi bado mnamshangaa yeye anawauzia vijarida vyake buku buku huku akiendelea akipiga safar.i lager yake tartiiiibu! mitaa ya samora avenue sijui huwa anatamia mayai pale! humkosi
 
Kusimama sawa tatizo ni kusimama kwa kujiegemeza kwa wenzio...Huyu mtu kavuka mipaka ya maadili maana kama ni imani siioni kwake....
 
Huyo ni mara moja lakini wa lisu hawajulikani na wala alipokuwa akisema kwenye vyombo vya habari hakusikika ila huyo amesha sikika dakika sufuri
 
Hahahahaa yaani waliomshambulia Tundu lisu walipita getini na getini palikuwa na walinzi hatukuona ghafra bin vuu kama hii kwamba tumuone Afande hapo mbele ya hao walinzi waliokuwepo zamu wakihojiwa na chini ya picha tusome kama ifuatavyo ´mkuu wa majeshi Tanzania mara moja bila kuchelewa awanasa waliokuwa zamu kwenye ulinzi getini pale DODoma
 
Back
Top Bottom