luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Habari wadau
Ni tabia inayo shamiri kwa hapa Shinyanga wanao endesha bodaboda baadhi yao japo ni wengi
Wamekuwa na tabia ya kutoboa exsoze za pikipiki na kupelekea vyombo ivyo kutoa sauti zinazo leta kelele , Serikali ngazi ya mkoa tabia hii imekuwa ni kero
Niwaombe viongoz wetu mjaribu kuwapa elimu hawa vijana wa bodaboda pengine wanaweza kubadilisha ama sio kuacha kabisa haka kamchezo
Ni tabia inayo shamiri kwa hapa Shinyanga wanao endesha bodaboda baadhi yao japo ni wengi
Wamekuwa na tabia ya kutoboa exsoze za pikipiki na kupelekea vyombo ivyo kutoa sauti zinazo leta kelele , Serikali ngazi ya mkoa tabia hii imekuwa ni kero
Niwaombe viongoz wetu mjaribu kuwapa elimu hawa vijana wa bodaboda pengine wanaweza kubadilisha ama sio kuacha kabisa haka kamchezo