Keep your nonsense to yourself

Keep your nonsense to yourself

My lovely daughter just let it flow.. Am sure mlengwa hakuwa na lengo baya bali ku chitchat tuu.. Take it as a merit to you.. Ni jambo jema kuona mtu anavutiwa na kuvutika nawe kiasi cha kukuwekea post ya mahaba! Si kila mdada ana hiyo bahati😀
Lakini pia kubwa na la muhimu zaidi punguzeni kidogo kuandika sensational post zinazoamsha hisia Kali kwa jinsia pinzani😂
Seriously unaweza kudhani unaandika kitu cha kawaida kumbe kwa wengine unawagusa kumoyo na kuamsha mashetani yote ya mahaba
Sasa kwakuwa hawawezi kukupata wanaamua kujipoza kwa kukuandikia mada za chombeza.. Ni aina mojawapo ya kufikisha ujumbe pia🤪

Kwa mkwe wangu chai ya rangi pole sana.. Pengine hujui hili lakini naomba nikwambie kwamba lama mtu hamjazoeana sana inabidi kwanza kumuomba ruhusa PM ya kumuanzishia uzi na maudhui yake
Bado una nafasi nzuri ya kuyajenga naye huko pembeni na ukitaka usaidizi baba mkwe nipo😂
 
My lovely daughter just let it flow.. Am sure mlengwa hakuwa na lengo baya bali ku chitchat tuu.. Take it as a merit to you.. Ni jambo jema kuona mtu anavutiwa na kuvutika nawe kiasi cha kukuwekea post ya mahaba! Si kila mdada ana hiyo bahati😀
Lakini pia kubwa na la muhimu zaidi punguzeni kidogo kuandika sensational post zinazoamsha hisia Kali kwa jinsia pinzani😂
Seriously unaweza kudhani unaandika kitu cha kawaida kumbe kwa wengine unawagusa kumoyo na kuamsha mashetani yote ya mahaba
Sasa kwakuwa hawawezi kukupata wanaamua kujipoza kwa kukuandikia mada za chombeza.. Ni aina mojawapo ya kufikisha ujumbe pia🤪

Kwa mkwe wangu chai ya rangi pole sana.. Pengine hujui hili lakini naomba nikwambie kwamba lama mtu hamjazoeana sana inabidi kwanza kumuomba ruhusa PM ya kumuanzishia uzi na maudhui yake
Bado una nafasi nzuri ya kuyajenga naye huko pembeni na ukitaka usaidizi baba mkwe nipo😂
sawa baba mkwe umeongea kwa busara sana kama ilivyo kawaida yako,

actually tulikua na mpango wa kumtuma mshenga Chivundu kwako lakini binti amecharuka kwelikweli
 
My dear ShesRise_1 jf utalalamika weee na hakuna utaloambulia. Wewe hapo na simu yako ndio dawa tu kuliko kuumiza kichwa na asubuh tena j3. Mtu akikuudhi u just click ignore au block him/her totally. Kuna haja gani uudhike na mtu humjui na hakujui. Wabongo tushavurugwa kiasi kwamba usipompga mtu stop you will end up quarrelling daily. Chukua maji unywe afu shka simu anza ku ignore na kublock waliokuudhi na roho yako itapona.
 
Kwa mkwe wangu chai ya rangi pole sana.. Pengine hujui hili lakini naomba nikwambie kwamba lama mtu hamjazoeana sana inabidi kwanza kumuomba ruhusa PM ya kumuanzishia uzi na maudhui yake
Bado una nafasi nzuri ya kuyajenga naye huko pembeni na ukitaka usaidizi baba mkwe nipo😂

Kweli mkuu, kijana aanzie PM huko, atafute namna nzuri ya adabu ajieleze.
 
Nyie wanaume mnaotafuta trending kwa kutia majina ya watu kwenye mada za kipuuzi, kudadeki 😏

naomba msije mkahusisha jina hili ShesRise_1 kwenye mada za kishamba Mwisho wa siku hata mimi ntaonekana mshamba wa aina hiyo pia

Today naamka nakutana na waraka mrefu kama mkojo wa mlevi 😭 ukinihusisha, honestly sijapenda
please, na mwingine yeyote anayefikiria kufanya hivi stop it guys

Hivi hamna mada nyingine za kuanzisha nyie wapuuzi? 😭

Mwanaume timamu, anayejiamini na mwenye pesa zake, hapigi kelele hivi Kwa status yake anaweza kupata mwanamke yeyote anaemtaka, so hawezi kupiga makelele humu juu ya mtu asiyemjua kutokana na imagination tu

Hii ni ishara kuwa mtu anayeandika mada za aina hii ni debe tupu tu 😭 debe likilia ngongoloooo hakuna kitu ndani

Mwisho kabisa 😌 kuna mwana huku anaichapa vizuri sana halafu anaku zoom jinsi unavyotafuta trending kupitia mimi 🤣🤣🤣 noma sana

ShesRise_1
Kutumika vibaya kwenye mada za kipumbavu siyo suala la kumlaumu mtu, inatokana na jinsi wewe mwenyewe ulivyojiweka huku.
 
My lovely daughter just let it flow.. Am sure mlengwa hakuwa na lengo baya bali ku chitchat tuu.. Take it as a merit to you.. Ni jambo jema kuona mtu anavutiwa na kuvutika nawe kiasi cha kukuwekea post ya mahaba! Si kila mdada ana hiyo bahati😀
Lakini pia kubwa na la muhimu zaidi punguzeni kidogo kuandika sensational post zinazoamsha hisia Kali kwa jinsia pinzani😂
Seriously unaweza kudhani unaandika kitu cha kawaida kumbe kwa wengine unawagusa kumoyo na kuamsha mashetani yote ya mahaba
Sasa kwakuwa hawawezi kukupata wanaamua kujipoza kwa kukuandikia mada za chombeza.. Ni aina mojawapo ya kufikisha ujumbe pia🤪

Kwa mkwe wangu chai ya rangi pole sana.. Pengine hujui hili lakini naomba nikwambie kwamba lama mtu hamjazoeana sana inabidi kwanza kumuomba ruhusa PM ya kumuanzishia uzi na maudhui yake
Bado una nafasi nzuri ya kuyajenga naye huko pembeni na ukitaka usaidizi baba mkwe nipo😂
❤️❤️❤️
 
Back
Top Bottom