ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 8,905
- 21,301
- Thread starter
- #101
Unaniharibia ujue 😅Watu wa jf wanaamin wew ni Ke kama unavyowaaminisha? Mimba mbili umezikataa pale kigogo
Tulia la sivyo nitakumwagia maji unyorodoke
Unaniharibia ujue 😅Watu wa jf wanaamin wew ni Ke kama unavyowaaminisha? Mimba mbili umezikataa pale kigogo
Asante sana bro hii nimeichuaMy dear ShesRise_1 jf utalalamika weee na hakuna utaloambulia. Wewe hapo na simu yako ndio dawa tu kuliko kuumiza kichwa na asubuh tena j3. Mtu akikuudhi u just click ignore au block him/her totally. Kuna haja gani uudhike na mtu humjui na hakujui. Wabongo tushavurugwa kiasi kwamba usipompga mtu stop you will end up quarrelling daily. Chukua maji unywe afu shka simu anza ku ignore na kublock waliokuudhi na roho yako itapona.
Salama kabisa. Nakujulia hali nduguNjema mkuu,vp
Nayaheshimu pia,that's why nimeyatolea maoni.Haya ni maoni yako nayaheshimu
Na wewe heshimu maoni yangu pia simple like that ✍️👍
Ok okNayaheshimu pia,that's why nimeyatolea maoni.
Kaka’ake Ngwathra nimefanyia kwzi ushauri ule bwana kumbe watu wanaona unafurahi kisa huchukui hatua mimi sijawahi kushtaki mtu so i never did that🤭
Heh 😅Thread hii ni maoni yangu binafsi
Sio sheria kwamba kila mtu afanye ninavyofanya/nilivyofanya 🙏🙏
Naomba kamalizie kuosha vyombo we mwanaume. Mimi sio h/girl wako tumeelewana? 😹😹😹Watu wa jf wanaamin wew ni Ke kama unavyowaaminisha? Mimba mbili umezikataa pale kigogo
Acha umbea lol! 😹Kuna nini pande hizii mwana Lunyasi? Nitag kwa huo uzi bas. Lol
Kumbe alikumaanisha wewe 😅😅Naomba kamalizie kuosha vyombo we mwanaume. Mimi sio h/girl wako tumeelewana? 😹😹😹
Mimi nilikua namtafuta ajabu nikamkuta huku anadai ulikataa mimba kigogo. So nikamuita akamalizie vyombo..!!Kumbe alikumaanisha wewe 😅😅
Nikahisi ananijua mimi nina makende wooii
Ila ukashindwa kuendelea kuvumilia kukaa kimya na hatimaye leo hujakaa kimya!Ni kweli, kama mimi nilivyofanya kwa kipenzi changu Aaliyyah halafu nika kaa zangu kimya
Tumeanzia hapo hapo anasema eti ananijua nina makende na nimewatia mimba watu 2 😅Mimi nilikua namtafuta ajabu nikamkuta huku anadai ulikataa mimba kigogo. So nikamuita akamalizie vyombo..!!
Sijui mmeanzia wapi wenyewe..!! 😹
Anageuza kama chapati au anaichapa kumoja tu?Nyie wanaume mnaotafuta trending kwa kutia majina ya watu kwenye mada za kipuuzi, kudadeki 😏
naomba msije mkahusisha jina hili ShesRise_1 kwenye mada za kishamba Mwisho wa siku hata mimi ntaonekana mshamba wa aina hiyo pia
Today naamka nakutana na waraka mrefu kama mkojo wa mlevi 😭 ukinihusisha, honestly sijapenda
please, na mwingine yeyote anayefikiria kufanya hivi stop it guys
Hivi hamna mada nyingine za kuanzisha nyie wapuuzi? 😭
Mwanaume timamu, anayejiamini na mwenye pesa zake, hapigi kelele hivi Kwa status yake anaweza kupata mwanamke yeyote anaemtaka, so hawezi kupiga makelele humu juu ya mtu asiyemjua kutokana na imagination tu
Hii ni ishara kuwa mtu anayeandika mada za aina hii ni debe tupu tu 😭 debe likilia ngongoloooo hakuna kitu ndani
Mwisho kabisa 😌 kuna mwana huku anaichapa vizuri sana halafu anaku zoom jinsi unavyotafuta trending kupitia mimi 🤣🤣🤣 noma sana
ShesRise_1
Dah aisee ebu acha basi 😅Anageuza kama chapati au anaichapa kumoja tu?
Lishangazi la kwenda 😅
Ndio mambo wapendayo vijana. Wanataka vizuri, ila hela hawana wala hela ya kuwafanya waendelee kuwa wazuri hawanaLishangazi la kwenda 😅