Keep your nonsense to yourself

Keep your nonsense to yourself

Nyie wanaume mnaotafuta trending kwa kutia majina ya watu kwenye mada za kipuuzi, kudadeki 😏

naomba msije mkahusisha jina hili ShesRise_1 kwenye mada za kishamba Mwisho wa siku hata mimi ntaonekana mshamba wa aina hiyo pia

Today naamka nakutana na waraka mrefu kama mkojo wa mlevi 😭 ukinihusisha, honestly sijapenda
please, na mwingine yeyote anayefikiria kufanya hivi stop it guys

Hivi hamna mada nyingine za kuanzisha nyie wapuuzi? 😭

Mwanaume timamu, anayejiamini na mwenye pesa zake, hapigi kelele hivi Kwa status yake anaweza kupata mwanamke yeyote anaemtaka, so hawezi kupiga makelele humu juu ya mtu asiyemjua kutokana na imagination tu

Hii ni ishara kuwa mtu anayeandika mada za aina hii ni debe tupu tu 😭 debe likilia ngongoloooo hakuna kitu ndani

Mwisho kabisa 😌 kuna mwana huku anaichapa vizuri sana halafu anaku zoom jinsi unavyotafuta trending kupitia mimi 🤣🤣🤣 noma sana

ShesRise_1
Mkeo na watoto nyumbani hawajambo?
 
Nyie wanaume mnaotafuta trending kwa kutia majina ya watu kwenye mada za kipuuzi, kudadeki 😏

naomba msije mkahusisha jina hili ShesRise_1 kwenye mada za kishamba Mwisho wa siku hata mimi ntaonekana mshamba wa aina hiyo pia

Today naamka nakutana na waraka mrefu kama mkojo wa mlevi 😭 ukinihusisha, honestly sijapenda
please, na mwingine yeyote anayefikiria kufanya hivi stop it guys

Hivi hamna mada nyingine za kuanzisha nyie wapuuzi? 😭

Mwanaume timamu, anayejiamini na mwenye pesa zake, hapigi kelele hivi Kwa status yake anaweza kupata mwanamke yeyote anaemtaka, so hawezi kupiga makelele humu juu ya mtu asiyemjua kutokana na imagination tu

Hii ni ishara kuwa mtu anayeandika mada za aina hii ni debe tupu tu 😭 debe likilia ngongoloooo hakuna kitu ndani

Mwisho kabisa 😌 kuna mwana huku anaichapa vizuri sana halafu anaku zoom jinsi unavyotafuta trending kupitia mimi 🤣🤣🤣 noma sana

ShesRise_1
Unajichamba mwenyewe, unajitongoza mwenyewe, unajitukana mwenyewe, unajipa promo mwenyewe.
It's completely useless, nonsensical and of zero value.
IMG_20260511_092726.jpg
 
Unajichamba mwenyewe, unajitongoza mwenyewe, unajitukana mwenyewe, unajipa promo mwenyewe.
It's completely useless, nonsensical and of zero value.
View attachment 3586967
Naomba nisikujibu leo
Mala nyingi hua nakuheshimu kwenye comment zako kuhusu mboga mboga

Ila ukija tena kama hivi nitakuweka unapo stahili🙏
 
Nilivyo na wivu nae, sitaki hata wamsogelee 😉

Kama kweli waoaji waje nyumbani kujitambulisha

Nimepata shida kuwalinda mjue, na hivi nilijaza nyumba matangazo "Hatuuzi Ice cream hapa" 😜
Kwanza siku mbili tatu sikuoni
Ulifungiwa wapi
 
Back
Top Bottom