ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 8,775
- 21,077
- Thread starter
- #121
Just imagine ni noma sanaNdio mambo wapendayo vijana. Wanataka vizuri, ila hela hawana wala hela ya kuwafanya waendelee kuwa wazuri hawana
Just imagine ni noma sanaNdio mambo wapendayo vijana. Wanataka vizuri, ila hela hawana wala hela ya kuwafanya waendelee kuwa wazuri hawana
Sema watunzeni nao wapata chochote kituJust imagine ni noma sana
Hakuna iyooSema watunzeni nao wapata chochote kitu
Kuna kijana alishiba asubuh sana akafungua uzi akisema kile anachoita hisia zake sijui ananipenda sijui niniwamekufanya nini ShesRise_1
My pleasure babeNaomba kamalizie kuosha vyombo we mwanaume. Mimi sio h/girl wako tumeelewana? 😹😹😹
Ah!! Sema achana nao watu wa humu si unawajua ndivyo walivyo.Kuna kijana alishiba asubuh sana akafungua uzi akisema kile anachoita hisia zake sijui ananipenda sijui nini
Halaf analezea kama tayali tunafahamiana
Amenikwaza yaan ufungue uzi kuelezea ujinga namna hiyo na unanitag
Napenda utani ila sio kufunguliana nyuzi na mtu hata simjui tuishie kwenye comment baasii
Yes kaka ila hii ilikua muhimu sanaAh!! Sema achana nao watu wa humu si unawajua ndivyo walivyo.
UKWELI MIMINAONA NI SEHEMU YA KUCHANGAMSHA JUKWAA TUUpumbavu tu wanaofanya chungu uliiona wapi
Ni kweli ila mimi binafsi sipendezwiUKWELI MIMINAONA NI SEHEMU YA KUCHANGAMSHA JUKWAA TU
PoleeeNi kweli ila mimi binafsi sipendezwi
AsantePoleee
Keeping such things can cause ma memory full, we trash em up n share with u, maan mna memory kubwa sanaNyie wanaume mnaotafuta trending kwa kutia majina ya watu kwenye mada za kipuuzi, kudadeki 😏
naomba msije mkahusisha jina hili ShesRise_1 kwenye mada za kishamba Mwisho wa siku hata mimi ntaonekana mshamba wa aina hiyo pia
Today naamka nakutana na waraka mrefu kama mkojo wa mlevi 😭 ukinihusisha, honestly sijapenda
please, na mwingine yeyote anayefikiria kufanya hivi stop it guys
Hivi hamna mada nyingine za kuanzisha nyie wapuuzi? 😭
Mwanaume timamu, anayejiamini na mwenye pesa zake, hapigi kelele hivi Kwa status yake anaweza kupata mwanamke yeyote anaemtaka, so hawezi kupiga makelele humu juu ya mtu asiyemjua kutokana na imagination tu
Hii ni ishara kuwa mtu anayeandika mada za aina hii ni debe tupu tu 😭 debe likilia ngongoloooo hakuna kitu ndani
Mwisho kabisa 😌 kuna mwana huku anaichapa vizuri sana halafu anaku zoom jinsi unavyotafuta trending kupitia mimi 🤣🤣🤣 noma sana
ShesRise_1
Hata sijatangaza popote pale mkuuIla ukashindwa kuendelea kuvumilia kukaa kimya na hatimaye leo hujakaa kimya!
And me, I throw them away too I don’t want them filling up my servers😅Keeping such things can cause ma memory full, we trash em up n share with u, maan mna memory kubwa sana
Kwamba Chelsea ina mashabiki wa hovyo 😅😅Litakua shabiki la Chelsea hilo pimbi. Hebu nione huo uzi
Mimi hapa napinga kutajwa kwenye nyuzi za watuKwanin usiwataje majina au uwa tag
Unawataja ili ujumbe uwe umewafikiaMimi hapa napinga kutajwa kwenye nyuzi za watu
Na mimi tena nifanye hivyo hapana