#KaziNaBata Maana yake nini? REPOST

#KaziNaBata Maana yake nini? REPOST

Hakika kuna tofauti gani na kuwa mtumwa kama unafanya kitu kwa kulazimishwa na mwisho wa siku haufahidi unachofanya...? Kuna watu wamejeuzwa slave masters na wengine ni manyapara wamejisahau kwamba nao wapo mulemule...Watumwa wenyewe wamekubali wao ni wanyonge kwakweli inasikitisha..
 
Kwa nini apoteze muda wake wakati anajua wako watu wanaoamua maendeleo yaende wapi na kwa muda gani na wao ndo wanaamua vipaumbele ni vipi.
Yeye kwa sasa anapaswa kupigania mageuzi makubwa yatakayowapa wananchi nguvu ya kuamua vipaumbele vyao ni nini ni si watawala.
Aah wapi....angetumia hiyo mitandao kutilia mkazo zaidi... Na si kuzusha fake news.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini apoteze muda wake wakati anajua wako watu wanaoamua maendeleo yaende wapi na kwa muda gani na wao ndo wanaamua vipaumbele ni vipi.
Yeye kwa sasa anapaswa kupigania mageuzi makubwa yatakayowapa wananchi nguvu ya kuamua vipaumbele vyao ni nini ni si watawala.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo kwa kuzusha habari feki
 
Ulimzushia Raisi wetu kifo, internet haisahau, hakuna mtu aliwahi kwenda mbali kiasi hicho, wewe ni evil being, hata mtu akikuangalia usoni anaona evil ndani yako, what goes around comes around, internet haisahau kumbuka hilo kama hata una uwezo wa kukumbuka chochote.
Mbona hata hiyo ailiyezushiwa kifo naye ni evil
 
Back
Top Bottom