gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,942
- 6,133
Hebu acha upuuzi,me sio shabiki wa Zitto wala sio mkazi wa jimbo analoliwakilisha.
Kumnanga kuhusu maendeleo ya jimbo analowakilisha kana kwamba yeye anakusanya kodi na kuzila na wanae sio hekima. Ningekuona una nafuu kama ungemnanga yule 'baba enu' anaesema wazi kuwa hatapeleka huduma kwenye jimbo linalowakilishwa na mpinzani na huku kodi za wananchi wamekusanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumnanga kuhusu maendeleo ya jimbo analowakilisha kana kwamba yeye anakusanya kodi na kuzila na wanae sio hekima. Ningekuona una nafuu kama ungemnanga yule 'baba enu' anaesema wazi kuwa hatapeleka huduma kwenye jimbo linalowakilishwa na mpinzani na huku kodi za wananchi wamekusanya.
Ndiyo mi sina chama.... Ni mdau tu wa hii serikali.... Na huo ndio ukweli Kigoma ni aibu tupu... Na mbunge ndo kama unavyomuona.... Anawaza bata tu.
Sent using Jamii Forums mobile app