#KaziNaBata Maana yake nini? REPOST

#KaziNaBata Maana yake nini? REPOST

Kwa hiyo hata km huna akili mwalimu akugaie zake ili ufaulu? Kama hamna vifaa vya kufundishia mwalimu atoe mshahara wake kukununulia?

Katika hizo pesa nyingi anazolipwa Zitto na bunge kuna hata shilingi mia umeambiwa ni kwa ajili ya maendeleo ya jimbo? Hiyo pesa anayolipwa ni kwa ajili ya 'kazi na bata' zake, acha ujuha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwa nn walimu wengine wafanye vizuri halafu shule moja... Mbona kuna wanaotimiza majukumu vizuri kama wabunge...?
Yaani wewe ni kiazi...kiazi kwelikweli.... Kazi na dawa sawa lakini timiza kwanza majukumu yako ambayo ndo kazi yenyewe... Sure mbunge wa mwanza city anawakilisha kero halafu wa kigoma anasubir muda uishe akale bata akitoka hapo akafunge twitter azushe taarifa... Si utaahira huo...
 
Kwahiyo akiroga ndio atapata Ubunge? Unamini nguvu za kichawi na kishirikina ukiwa na umri huo? Ndio maana CCM inawaroga kupitia ule moto mnaoukimbiza kila mwaka na kwasababu mnaamini ulozi mmerogeka kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Ww ndio umerogwa kutetea ujinga...Na naona alishakufanya awe role model wako kabisa..
 
Kwenye hiyo kodi yako waambie gawio asipewe Zito, upewe umpelekee unayemtaka. Zito hataki hela yako.
Naongea kwa niaba ya wananchi wengi wa huku....ww upo kwa mtogole mambo mengine huwezi yajua
 
Hebu acha upuuzi,me sio shabiki wa Zitto wala sio mkazi wa jimbo analoliwakilisha.

Kumnanga kuhusu maendeleo ya jimbo analowakilisha kana kwamba yeye anakusanya kodi na kuzila na wanae sio hekima. Ningekuona una nafuu kama ungemnanga yule 'baba enu' anaesema wazi kuwa hatapeleka huduma kwenye jimbo linalowakilishwa na mpinzani na huku kodi za wananchi wamekusanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo aya ya kwanza sidhani kama mhusika ni mimi.... Umechanganya madesa...mtafute aliyekwambia hivyo.
 
Naongea kwa niaba ya wananchi wengi wa huku....ww upo kwa mtogole mambo mengine huwezi yajua

Huo uhalali wa kuwaongelea hao wananchi wengi nani kakupa kama sio kimbelembele dume zima? Hao waliokutuma na wao pia wasimpe hizo hela zao, maana hata yeye Zito analipa kodi, tena ni kubwa kuliko wao. Hicho kimbelembele kitakufanya uchumishwe matembele dogo.
 
Mwenzako anamaanisha bata ni Uzembe, na hapo ndo kiashatoa maelekezo hana muda wa kushawishi watu wamuelewe.
kesho ukisisikia mwenye bodaboda iliyoandikwa "kazi na bata" huko Kibiti kakamatwa na Jeshi la Polisi kwa kuchochea uzembe katika jamii, usishange.
 
Huo uhalali wa kuwaongelea hao wananchi wengi nani kakupa kama sio kimbelembele dume zima? Hao waliokutuma na wao pia wasimpe hizo hela zao, maana hata yeye Zito analipa kodi, tena ni kubwa kuliko wao. Hicho kimbelembele kitakufanya uchumishwe matembele dogo.
Kumbe bata zenyewe unazosemea ndo hizo... Hakha!!!! Siwezi unga juhudi za umoja wa ulaya.... Ila angalia usiwe addicted ikaja kuwa kazi yako rasmi.
 
Majukumu ya mbunge kikatiba ni yapi na yeye ameshindwa kutimiza yapi?
Sasa kwa nn walimu wengine wafanye vizuri halafu shule moja... Mbona kuna wanaotimiza majukumu vizuri kama wabunge...?
Yaani wewe ni kiazi...kiazi kwelikweli.... Kazi na dawa sawa lakini timiza kwanza majukumu yako ambayo ndo kazi yenyewe... Sure mbunge wa mwanza city anawakilisha kero halafu wa kigoma anasubir muda uishe akale bata akitoka hapo akafunge twitter azushe taarifa... Si utaahira huo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom