Kazi ya CONSTRUCTION HELPER Abudhabi U.A.E

Kazi ya CONSTRUCTION HELPER Abudhabi U.A.E

Mnyuke Jr

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2021
Posts
4,500
Reaction score
6,458
Kwa wenye uhitaji wa kazi ya construction helper Abudhabi na una Agent fee ya $1000.

Kazi zipo za kutosha sana,Baada ya kufanyiwa medical checkup,work visa inatoka baada ya wiki moja na ndio utafanya initial payment ya $500 baada ya hapo utasubiri flight ticket na ikitoka utamalizia $500 na utasafirishwa Abudhabi UAE kuanza kazi yako

*Free accommodation
*Free Transport
*Leave salary
*Medical insurance

Mshahara kwa mwezi ni AED 1100
Masaa 10 ya kazi kwa siku 6 ndani ya wiki na siku 1 ya mapumziko

IMG-20260120-WA0004.jpg
 
Kazi zipo za kutosha sana,Baada ya kufanyiwa medical checkup,work visa inatoka baada ya wiki moja na ndio utafanya initial payment ya $500 baada ya hapo utasubiri flight ticket na ikitoka utamalizia $500 na utasafirishwa Abudhabi UAE kuanza kazi yako

Hakuna kutuma CV wala interview Na mwajiri kumjua ni nani?

Kusafirishwa na nani?

Link mtaka kazi atajua wapi na kampuni ipi anaenda kufanyia kazi?

Kwahiwo mwombaji hatui pesa yoyote zaidi ya hiyo 1k, hizo zingine kwanini bure au ndio kudaiwa baadae?

Haya tuanzie hapo nimesoma tu uliyoandika
 
AED 1100 * 690=TZS 759,000.00/week ni pesa ndogo kufanya kazi masaa 10 kwa wiki pia kule kuna gharama za kuishi rent zipo juu kodi ya chumba kimoja ina range AED 6000-8000 yaani Sh. 4,400,000-5,500,000 na wewe unapata AED 1100/week means monthly ni AED 4,4000*690 = TZS. 3,036,000 sema uzuri kuna free accommodation na uzuri wake UAE hakuna PAYE yaani hulipi kodi ila mi bado naona pesa ndogo hajanishawishi kuondoka TZ ?
 
Hakuna kutuma CV wala interview Na mwajiri kumjua ni nani?

Kusafirishwa na nani?

Link mtaka kazi atajua wapi na kampuni ipi anaenda kufanyia kazi?

Kwahiwo mwombaji hatui pesa yoyote zaidi ya hiyo 1k, hizo zingine kwanini bure au ndio kudaiwa baadae?

Haya tuanzie hapo nimesoma tu uliyoandika
Ila Coco sasa hivi utakua mzee sana utaweza kweli kufanya kazi maana taangu jamii forums inaanza we upo 😂😂😂😂 Hongera sana mheshimiwa cocochanel depo ya kitambo
 
AED 1100 * 690=TZS 759,000.00/week ni pesa ndogo kufanya kazi masaa 10 kwa wiki pia kule kuna gharama za kuishi rent zipo juu kodi ya chumba kimoja ina range AED 6000-8000 yaani Sh. 4,400,000-5,500,000 na wewe unapata AED 1100/week means monthly ni AED 4,4000*690 = TZS. 3,036,000 sema uzuri kuna free accommodation na uzuri wake UAE hakuna PAYE yaani hulipi kodi ila mi bado naona pesa ndogo hajanishawishi kuondoka TZ ?
free accommodation means unakwenda kuishi kwenye matent jangwani au kwenye hosteli moja yenye watu kama mia hivi mchanganyiko wa Wapakistani,wahindi, wa Indonesia na wagilipino
 
AED 1100 * 690=TZS 759,000.00/week ni pesa ndogo kufanya kazi masaa 10 kwa wiki pia kule kuna gharama za kuishi rent zipo juu kodi ya chumba kimoja ina range AED 6000-8000 yaani Sh. 4,400,000-5,500,000 na wewe unapata AED 1100/week means monthly ni AED 4,4000*690 = TZS. 3,036,000 sema uzuri kuna free accommodation na uzuri wake UAE hakuna PAYE yaani hulipi kodi ila mi bado naona pesa ndogo hajanishawishi kuondoka TZ ?
AED 1,100 ni per month sio per week that’s very little money but I’ll reserve my judgment it might be a lot for someone, bongo is extremely poor
 
AED 1100 * 690=TZS 759,000.00/week ni pesa ndogo kufanya kazi masaa 10 kwa wiki pia kule kuna gharama za kuishi rent zipo juu kodi ya chumba kimoja ina range AED 6000-8000 yaani Sh. 4,400,000-5,500,000 na wewe unapata AED 1100/week means monthly ni AED 4,4000*690 = TZS. 3,036,000 sema uzuri kuna free accommodation na uzuri wake UAE hakuna PAYE yaani hulipi kodi ila mi bado naona pesa ndogo hajanishawishi kuondoka TZ ?
Free accommodation
 
Hakuna kutuma CV wala interview Na mwajiri kumjua ni nani?

Kusafirishwa na nani?

Link mtaka kazi atajua wapi na kampuni ipi anaenda kufanyia kazi?

Kwahiwo mwombaji hatui pesa yoyote zaidi ya hiyo 1k, hizo zingine kwanini bure au ndio kudaiwa baadae?

Haya tuanzie hapo nimesoma tu uliyoandika
Hii kazi haina umuhimu wa kuhitaji CV yako,kwa mtu aliyeishi dubai atakuwa anajua vzr kazi za construction helper zilivyo

Muhimu ujue ile Basic English tu,kwasababu huku Dubai ukiongea kiingereza kigumu watu hawatokuelewa

Kuhusu interview lazima ufanyiwe oral interview through video na mwajiri ambaye yupo Abudhabi pia ni lazima usign offer letter ya kazi ambayo utaenda kufanya,kiufupi ni lazima ufanye kila kitu ambacho ni legal ili uweze kupata kibali cha kwenda kufanya kazi nje kupitia TaEsa

Mtu ukishatoa 1k ndo unakuwa umemaliza kila kitu,na pesa unatoa kwa awamu,yaani awamu ya kwanza visa ya kazi ikitoka na awamu ya pili ticket yako ya kwenda Abudhabi ikitoka ndo unamaliza malipo yako
 
Kwa wenye uhitaji wa kazi ya construction helper Abudhabi na una Agent fee ya $1000.

Kazi zipo za kutosha sana,Baada ya kufanyiwa medical checkup,work visa inatoka baada ya wiki moja na ndio utafanya initial payment ya $500 baada ya hapo utasubiri flight ticket na ikitoka utamalizia $500 na utasafirishwa Abudhabi UAE kuanza kazi yako

*Free accommodation
*Free Transport
*Leave salary
*Medical insurance

Mshahara kwa mwezi ni AED 1100
Masaa 10 ya kazi kwa siku 6 ndani ya wiki na siku 1 ya mapumziko
Usisahau kuwaeleza joto la kule
 
AED 1100 * 690=TZS 759,000.00/week ni pesa ndogo kufanya kazi masaa 10 kwa wiki pia kule kuna gharama za kuishi rent zipo juu kodi ya chumba kimoja ina range AED 6000-8000 yaani Sh. 4,400,000-5,500,000 na wewe unapata AED 1100/week means monthly ni AED 4,4000*690 = TZS. 3,036,000 sema uzuri kuna free accommodation na uzuri wake UAE hakuna PAYE yaani hulipi kodi ila mi bado naona pesa ndogo hajanishawishi kuondoka TZ ?
Kiongozi naona unapiga hesabu za rent za kuishi kwenye apartments ila sehemu za kuishi au kulala hapa UAE zimegawanyika kama ifuatavyo,kuna Bed space ambayo kwa mwezi inaanzia 200aed hadi 1000aed,pia kuna partition hizi zinaanzia 1000aed hadi 2000aed pia kuna chumba kizima hapa unalipa kuanzia 1500 na kuendelea ni kutokana na sehemu chumba kilipo

Ila hapa dubai kuna Labour cities ambazo makampuni mengi yamejenga accommodation zao kwa staff wake ambao wanaishi bure ila chakula wanajitegemea na kwenye hizo accommodation wanapewa na majiko ya gesi kwa ajili ya kujipikia chakula chao,usafiri wa kwenda kazini na kurudi ni bure,pia Medical insurance

Pia Dubai mshahara wake hauna kodi hata moja,pesa yako utaipata kama ilivyo

Ukiwa Tanzania na una kipato cha kuanzia 1M kila mwezi nakushauri usiondoke ila kama umepata 2M kwa bahati mbaya na huwezi kuizalisha ni bora ukasafiri ukatengeneza kipato cha uhakika kila mwezi
free accommodation means unakwenda kuishi kwenye matent jangwani au kwenye hosteli moja yenye watu kama mia hivi mchanganyiko wa Wapakistani,wahindi, wa Indonesia na wagilipino
Free accommodation maana yake ni kwamba utapewa bed space kama zilivyo hostel za chuo,chumba kimoja watu wanne
Kila mtu lazima aanze kwenye humble beginning,Dubai ni platform iliyowapa watu maisha,leo hii utakuja kwa kazi ya construction ila uzuri wake kuna growth of careers uankuja unapata kazi nzuri na yenye maslahi mazuri na kuweza kuishi kwenye chumba kizuri
 
Back
Top Bottom