Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,333
- 24,228
Nimeridhishwa jinsi Waziri Mkuu Majaliwa anavyo simamia watendaji serikali ili wawe mstari unaoeleweka.
Kizuri ni mtu kuchukuliwa hatua pale pale bila kupepesa macho wala kuremba. Wateule wa vyeo vya kati, maDC, maDED, CEO mashirika ya Umma wengine wao ni wapigaji kwa kwenda mbele.
NB: Kimetukera sana wananchi yule Mkurugenzi wa Maji kupiga bila woga wowote katika ununuzi wa pikipiki kwa kujiongezea Tshs 1.1 million cha juu kila piki piki.
Pikipiki 30, yeye cha juu ni milioni 33.
Hawa watu mtuletee wananchi tuwapige mawe hadi kufa!
KUTONYA
Kwa kutonya tu, PM fuatilia hela ya mama ile ya COVID, utakamata samaki wengi tu!
Kizuri ni mtu kuchukuliwa hatua pale pale bila kupepesa macho wala kuremba. Wateule wa vyeo vya kati, maDC, maDED, CEO mashirika ya Umma wengine wao ni wapigaji kwa kwenda mbele.
NB: Kimetukera sana wananchi yule Mkurugenzi wa Maji kupiga bila woga wowote katika ununuzi wa pikipiki kwa kujiongezea Tshs 1.1 million cha juu kila piki piki.
Pikipiki 30, yeye cha juu ni milioni 33.
Hawa watu mtuletee wananchi tuwapige mawe hadi kufa!
KUTONYA
Kwa kutonya tu, PM fuatilia hela ya mama ile ya COVID, utakamata samaki wengi tu!