Ufisadi wa viwanja Mwanza: Hongera Waziri Mkuu Majaliwa kwa kuingilia kati

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,172
Wizara ya Ardhi imeoza kwa rushwa. Sina uhakika kama Waziri Jerry Slaa ataziweza mbinu za ufisadi ndani ya Wizara ya Ardhi na Idara za Ardhi katika Halmashauri.

Sakata la plots 194 na 195 Rwegasore Mwanza inatufungua macho.

Nampongeza sana Waziri Mkuu Majaliwa kwa kulichunguza kwa undani swala la ufisadi wa viwanja tajwa, ufisadi uliotungwa na watu ndani ya serikali.

Kuna maafisa Ardhi wakishirikiana na viongizi wakubwa serikalini wamekuwa wakiwapora viwanja wananchi wa hali ya chini mchana kweupe.

Mbinu inayotumika sasa hivi ni kushirikisha Mahakama au TAKUKURU.

Mbinu inayotumika iko hivi:

Kama kuna kiongozi au mtu mwenye pesa ndefu anataka kiwanja maeneo fulani, sema Mbezi, Ununio au Bahari Beach, au hata Mapinga na sehemu prime, inaanzishwa kesi au mashitaka yasiyo na mbele wala nyuma juu ya kiwanja husika.

Nia inakuwa kupora kiwanja.

Mtu anasitukia anatakiwa Mahakamani au kwenda TAKUKURU kujieleza.

Hao maafisa Ardhi huwa wamempanga mtu kulianzisha na kuandika malalamiko feki.

Kama una uzembe hukufuatilia kiwanja chako na kulipia Land Rent, wanakusubiri hata mwaka na mwisho unaletewa barua kuondoka kwenye kiwanja hata kama Hati ulikuwa nayo.

Wenyewe wanasema imekuwa revoked.

Mimi binafsi lilinitokea hili, ila nawashukuru TAKUKURU waliushitukia mchezo, baada ya misuguano ya mwaka mzima, kuwa wanatumiwa na hao wajanja kunyang'anya viwanja vya wananchi wa hali ya chini wenye viwanja prime.

Namfahamu mtu Bahari Beach aliyeondolewa mchana kweupe kwa mbinu hiyo na kwa vile wanaonyang'anya ni wenye vyeo na pesa kubwa, mwananchi anabaki kulia.

Waziri Jerry Slaa namshauri awekeke Help Desk ofisi za Ardhi Mkoa ili zishughulikiwe kwa njia inayofaa.
 
Wizara ya Ardhi imeoza kwa rushwa. Sina uhakika ka Waziri Jerry Slaa ataziweza mbinu za ufisadi ndani ya Wizara ya Ardhi na Idara za Ardhi katika Halmashauri.

Sakata la plots 194 na 195 Rwegasore Mwanza inatufungua macho.

Kuna maafisa Ardhi wakishirikiana na viongizi wakubwa serikalini wamekuwa wakiwapora viwanja wananchi wa hali ya chini mchana kweupe.

Mbinu inayotumika sasa hivi ni kushirikisha Mahakama au TAKUKURU.

Mbinu inayotumika iko hivi;
Kama kuna kiongozi au mtu mwenye pesa ndefu anataka kiwanja maeneo fulani, sema Mbezi, Ununio au Bahari Beach, au hata Mapinga na sehemu prime, inaanzishwa kesi au mashitaka yasiyo na mbele wala nyuma juu ya kiwanja husika.
Nia inakuwa kupora kiwanja.
Mtu anasitukia anatakiwa Mahakamani au kwenda TAKUKURU kujieleza.
Hao maafisa Ardhi huwa wamempanga mtu kulianzisha na kuandika malalamiko feki.
Kama una uzembe hukufuatilia kiwanja chako na kulipia Land Rent, wanakusubiri hata mwaka na mwisho unaletewa barua kuondoka kwenye kiwanja hata kama Hati ulikuwa nayo.
Wenyewe wanasema imekuwa revoked.

Mimi binafsi lilinitokea hili, ila nawashukuru TAKUKURU waliushitukia mchezo , baada ya misuguano ya mwaka mzima, kuwa wanatumiwa na hao wajanja kunyang'anya viwanja vya wananchi wa hali ya chini wenye viwanja prime.

Namfahamu mtu Bahari Beach aliyeondolewa mchana kweupe kwa mbinu hiyo na kwa vile wanaonyang'anya ni wenye vyeo na pesa kubwa, mwananchi anabaki kulia.

Waziri Jerry Slaa namshauri awekeke Help Desk ofisi za Ardhi Mkoa ili zishughulikiwe kwa njia inayofaa.
Hii hali ya jk ndo inarudi kwa kasi ya ajabu
 
Hawa watu wa Ardhi wasionewe huruma.
Kutumbuliwa hsitoshi.
Mkuu, wewe umewaona watu wa Ardhi; kila mmoja wetu atakusimulia yaliyompata eneo jingine, Afya, Biashara, Mambo ya ndani, n.k., n.k..

Tukitaka kuyazungumzia yote humu JF, jukwaa litajaa machozi kila ukurasa.

Naelewe wewe ni mtu wa chama mtiifu; lakini hiyo haisaidii; unalia tu kama sisi sote wengine. Mwisho wa siku, unabaki kupambania chama dhidi yetu wengine wote!

Umetaja hilo tatizo moja katika wizara moja. Mapendekezo uliyotoa kudhibiti hali hiyo hata wewe mwenyewe unajua hayana nguvu yoyote, na hakuna atakayeyatizama, acha kuyatekeleza.
Lakini kulialia, sote tutaendelea tu hivyo hivyo na machozi yetu.
 
Wizara ya Ardhi imeoza kwa rushwa. Sina uhakika ka Waziri Jerry Slaa ataziweza mbinu za ufisadi ndani ya Wizara ya Ardhi na Idara za Ardhi katika Halmashauri.

Sakata la plots 194 na 195 Rwegasore Mwanza inatufungua macho.

Kuna maafisa Ardhi wakishirikiana na viongizi wakubwa serikalini wamekuwa wakiwapora viwanja wananchi wa hali ya chini mchana kweupe.

Mbinu inayotumika sasa hivi ni kushirikisha Mahakama au TAKUKURU.

Mbinu inayotumika iko hivi;
Kama kuna kiongozi au mtu mwenye pesa ndefu anataka kiwanja maeneo fulani, sema Mbezi, Ununio au Bahari Beach, au hata Mapinga na sehemu prime, inaanzishwa kesi au mashitaka yasiyo na mbele wala nyuma juu ya kiwanja husika.
Nia inakuwa kupora kiwanja.
Mtu anasitukia anatakiwa Mahakamani au kwenda TAKUKURU kujieleza.
Hao maafisa Ardhi huwa wamempanga mtu kulianzisha na kuandika malalamiko feki.
Kama una uzembe hukufuatilia kiwanja chako na kulipia Land Rent, wanakusubiri hata mwaka na mwisho unaletewa barua kuondoka kwenye kiwanja hata kama Hati ulikuwa nayo.
Wenyewe wanasema imekuwa revoked.

Mimi binafsi lilinitokea hili, ila nawashukuru TAKUKURU waliushitukia mchezo , baada ya misuguano ya mwaka mzima, kuwa wanatumiwa na hao wajanja kunyang'anya viwanja vya wananchi wa hali ya chini wenye viwanja prime.

Namfahamu mtu Bahari Beach aliyeondolewa mchana kweupe kwa mbinu hiyo na kwa vile wanaonyang'anya ni wenye vyeo na pesa kubwa, mwananchi anabaki kulia.

Waziri Jerry Slaa namshauri awekeke Help Desk ofisi za Ardhi Mkoa ili zishughulikiwe kwa njia inayofaa.
Alipokuwa Meya wa Ilala je Maeneo ya Wazi yalipona ? Tuanzie hapo
 
Mkuu, wewe umewaona watu wa Ardhi; kila mmoja wetu atakusimulia yaliyompata eneo jingine, Afya, Biashara, Mambo ya ndani, n.k., n.k..

Tukitaka kuyazungumzia yote humu JF, jukwaa litajaa machozi kila ukurasa.

Naelewe wewe ni mtu wa chama mtiifu; lakini hiyo haisaidii; unalia tu kama sisi sote wengine. Mwisho wa siku, unabaki kupambania chama dhidi yetu wengine wote!

Umetaja hilo tatizo moja katika wizara moja. Mapendekezo uliyotoa kudhibiti hali hiyo hata wewe mwenyewe unajua hayana nguvu yoyote, na hakuna atakayeyatizama, acha kuyatekeleza.
Lakini kulialia, sote tutaendelea tu hivyo hivyo na machozi yetu.
Muhimu ni kuyajua yanayofanyika na kuyajua. Yasiporekebishwa hatua inayofuata ni kuwataja wahusika wa ufisadi mitandaoni kwa majina.
 
Jeri slaa kwenye hii wizara hatoboi hata kidogo, huku hapaitaji matamko Pana hitaji vitendo zaidi sasa yule macho manne anajua kupiga mdomo tuu, na bila kusahau na yeye ni mkwapuaji mzuri tuu wa maeneo yasiyo yake
 
Jeri slaa kwenye hii wizara hatoboi hata kidogo, huku hapaitaji matamko Pana hitaji vitendo zaidi sasa yule macho manne anajua kupiga mdomo tuu, na bila kusahau na yeye ni mkwapuaji mzuri tuu wa maeneo yasiyo yake
Ni kweli kabisa, bila kutumbua wale maafisa Ardhi magwiji ya ufisadi, maneni matupu hayasaidii.
Waziri aanzie ghorifa ya nne, pale wizarani.
 
Takukuru ng'ata, ng'ataaaa,hiyo ilikuwa kauli anapenda kuitumia mzee jpm,leo takukuru ni kama simba wa karatasi tu.
Kiukweli pamoja na uadilifu wa TAKUKURU, inaelekea wako busy sana. Hili linatumiwa na mafisadi Ardhi kama "parking" ya viwanja wanavyotaka kuvifisadi.

Waziri Jerry Slaa abuni mbinu ya kupata kikosi Chunguzi ndani ya Ardhi, ili wawadhibiti wezi waliomo katika wizara.
 
Muhimu ni kuyajua yanayofanyika na kuyajua. Yasiporekebishwa hatua inayofuata ni kuwataja wahusika wa ufisadi mitandaoni kwa majina.
Ninakubaliana na wewe, na pendekezo hilo lilitolewa humu miaka mingi sana kabla ya leo. Nikuhakikishie, baada ya leo, ukirudi tena kwenye hoja yako miaka ishirini ijayo iwapo CCM watakuwa bado wanashikiria madaraka, utaanza tena kutoa pendekezo hilo hilo la "kuwataja."
 
Wizara ya Ardhi imeoza kwa rushwa. Sina uhakika kama Waziri Jerry Slaa ataziweza mbinu za ufisadi ndani ya Wizara ya Ardhi na Idara za Ardhi katika Halmashauri.

Sakata la plots 194 na 195 Rwegasore Mwanza inatufungua macho.

Nampongeza sana Waziri Mkuu Majaliwa kwa kulichunguza kwa undani swala la ufisadi wa viwanja tajwa, ufisadi uliotungwa na watu ndani ya serikali.

Kuna maafisa Ardhi wakishirikiana na viongizi wakubwa serikalini wamekuwa wakiwapora viwanja wananchi wa hali ya chini mchana kweupe.

Mbinu inayotumika sasa hivi ni kushirikisha Mahakama au TAKUKURU.

Mbinu inayotumika iko hivi:

Kama kuna kiongozi au mtu mwenye pesa ndefu anataka kiwanja maeneo fulani, sema Mbezi, Ununio au Bahari Beach, au hata Mapinga na sehemu prime, inaanzishwa kesi au mashitaka yasiyo na mbele wala nyuma juu ya kiwanja husika.

Nia inakuwa kupora kiwanja.

Mtu anasitukia anatakiwa Mahakamani au kwenda TAKUKURU kujieleza.

Hao maafisa Ardhi huwa wamempanga mtu kulianzisha na kuandika malalamiko feki.

Kama una uzembe hukufuatilia kiwanja chako na kulipia Land Rent, wanakusubiri hata mwaka na mwisho unaletewa barua kuondoka kwenye kiwanja hata kama Hati ulikuwa nayo.

Wenyewe wanasema imekuwa revoked.

Mimi binafsi lilinitokea hili, ila nawashukuru TAKUKURU waliushitukia mchezo, baada ya misuguano ya mwaka mzima, kuwa wanatumiwa na hao wajanja kunyang'anya viwanja vya wananchi wa hali ya chini wenye viwanja prime.

Namfahamu mtu Bahari Beach aliyeondolewa mchana kweupe kwa mbinu hiyo na kwa vile wanaonyang'anya ni wenye vyeo na pesa kubwa, mwananchi anabaki kulia.

Waziri Jerry Slaa namshauri awekeke Help Desk ofisi za Ardhi Mkoa ili zishughulikiwe kwa njia inayofaa.
Kuna vikundi vya Mungiki vinakodiwa na watu hasa kwenye mashamba. Wanaovamia na kuleta taharuki na mbeleni vinaunganishwa na mbinu hizi za Takukuru na Mahakama ukiwa huna fedha au msaada wa wajuzi wa sheria ...inakula kwako mapema sana.

Wanaoumia zaidi ni wajane na watoto hasa wazazi wanapotangulia mbele ya Haki. Taifa lisilo na Haki ni taifa lililokufa.
 
Wizara ya Ardhi imeoza kwa rushwa. Sina uhakika kama Waziri Jerry Slaa ataziweza mbinu za ufisadi ndani ya Wizara ya Ardhi na Idara za Ardhi katika Halmashauri.

Sakata la plots 194 na 195 Rwegasore Mwanza inatufungua macho.

Nampongeza sana Waziri Mkuu Majaliwa kwa kulichunguza kwa undani swala la ufisadi wa viwanja tajwa, ufisadi uliotungwa na watu ndani ya serikali.

Kuna maafisa Ardhi wakishirikiana na viongizi wakubwa serikalini wamekuwa wakiwapora viwanja wananchi wa hali ya chini mchana kweupe.

Mbinu inayotumika sasa hivi ni kushirikisha Mahakama au TAKUKURU.

Mbinu inayotumika iko hivi:

Kama kuna kiongozi au mtu mwenye pesa ndefu anataka kiwanja maeneo fulani, sema Mbezi, Ununio au Bahari Beach, au hata Mapinga na sehemu prime, inaanzishwa kesi au mashitaka yasiyo na mbele wala nyuma juu ya kiwanja husika.

Nia inakuwa kupora kiwanja.

Mtu anasitukia anatakiwa Mahakamani au kwenda TAKUKURU kujieleza.

Hao maafisa Ardhi huwa wamempanga mtu kulianzisha na kuandika malalamiko feki.

Kama una uzembe hukufuatilia kiwanja chako na kulipia Land Rent, wanakusubiri hata mwaka na mwisho unaletewa barua kuondoka kwenye kiwanja hata kama Hati ulikuwa nayo.

Wenyewe wanasema imekuwa revoked.

Mimi binafsi lilinitokea hili, ila nawashukuru TAKUKURU waliushitukia mchezo, baada ya misuguano ya mwaka mzima, kuwa wanatumiwa na hao wajanja kunyang'anya viwanja vya wananchi wa hali ya chini wenye viwanja prime.

Namfahamu mtu Bahari Beach aliyeondolewa mchana kweupe kwa mbinu hiyo na kwa vile wanaonyang'anya ni wenye vyeo na pesa kubwa, mwananchi anabaki kulia.

Waziri Jerry Slaa namshauri awekeke Help Desk ofisi za Ardhi Mkoa ili zishughulikiwe kwa njia inayofaa.
Waziri jerry silaa katuonyesha yeye hana njaa hali rushwa la hadi milioni 300. Kasema baba yake alikua rubani. Basi tuombe mungu pia awe sio hana njaa tu ila ni mtu muadilifu. Basi afanye kazi kufuta dhuluma wizara ya ardhi.
 
Waziri jerry silaa katuonyesha yeye hana njaa hali rushwa la hadi milioni 300. Kasema baba yake alikua rubani. Basi tuombe mungu pia awe sio hana njaa tu ila ni mtu muadilifu. Basi afanye kazi kufuta dhuluma wizara ya ardhi.
Na aende Takukuru..ili hao wanaotoa advances za rushwa za mamilioni waminywe na vyombo vya sheria.
 
Back
Top Bottom