Son of Alaska
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 2,812
- 1,054
kwani huko TANZANIA ardhi ya kilimo imekwisha?
Mkuu Fidel achana na mawazo ya kizamani.Siku hizi hakuna mtu ambae anaweza akapata kazi kwa sababu ya kutoa rushwa ya ngono.
kwani huko TANZANIA ardhi ya kilimo imekwisha?
kwani huko TANZANIA ardhi ya kilimo imekwisha?
Ardhi haijaisha ndugu yangu HUKU TANZANIA..Unashauri akalime?..Tusaidiane kimawazo vizuri juu ya hili, anaweza kuwa mkulima pia!
Asante
kwani huko TANZANIA ardhi ya kilimo imekwisha?
kazi ipo ila cv yake aiweke hadharani,hususani picha na kama ameolewa au la
kazi ipo ila cv yake aiweke hadharani,hususani picha na kama ameolewa au la
BelindaJacob
umeona majibu ya wenzetu walioko ng'ambo?
wala husishtuke kumbuka tu ile methali "MASIKINI AKIPATA ****** HULIA MBWATA". Kwa kifupi ni jibu la hovyo hovyo, linakera kwani haliendani na topic
Mkuu wewe si unabeba box huko rudi na wewe uache ukuli uje tusaidiane kulima tunapenda watu kama nyie muwe mnakumbuka kwanza nyumbani na kulijenga taifa sio mnajisahau huko kwenye kubeba box.
Bado hajaingia chama cha ndoa!..
Asante!
Hapa ndipo utakapo watamanisha mapedeshee wa humu ndani.
Yaani anaweza akala shavu muda si mrefu kwenye showroom za magari.
Belinda,
Huyo ndg yako yuko mkoa gani. Amepasi angalau zaidi ya average? Anachagua mshahara?Kama una mojawapo ya barua yake nitumie. Nijaribu kui fwd kwa watoa kazi. Hawa watoto wa IFM(labda excluding him/her)wanajiwekea status ambazo hawajatengeneza. Lakini la ziada kama alivyosema mchangiaji 1,kama huna experience mzazi aliyekusomesha miaka yote hiyo lazima awe tayari kukulipia angalau nauli ufanye practicals/fields hata kama ni bila senti 1 ujaze CV yako na humo x 2 unaweza kuwa unapata na access ya facilities na contacts.Kazi za magazeti nyingi wanakuwa wameishakalia meza ndio wanatangaza,uliza aliyepasi -utaambiwa hata kwenye inteview hakuwepo alikuwa kazini.
Kt.
Jamani mkuu usimwambie hivyo huyu mwenzetu,mbona wewe hauko huko mashambani ukilima?,Tumusaidieni huyu ndugu yetu,anahitaji sana msaada wetukwani huko TANZANIA ardhi ya kilimo imekwisha?
BelindaJacob
umeona majibu ya wenzetu walioko ng'ambo?
wala husishtuke kumbuka tu ile methali "MASIKINI AKIPATA ****** HULIA MBWATA". Kwa kifupi ni jibu la hovyo hovyo, linakera kwani haliendani na topic
Mtatutibulia hali ya hewa kwa masihala ktk mambo ya maana. Msaidieni mhusika kupata kazi,kama huna hint si ukae kimya?