KAZI BADO IPO TENA KUBWA KWELI KWELI

KAZI BADO IPO TENA KUBWA KWELI KWELI

generationn Z

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2025
Posts
401
Reaction score
660
1-Vijijini na hata mijini bado kuna watu hata hawajui kama nafasi ya makamu wa rais imefanyiwa mabadaliko

2-bora hata wazee na miranial wengi wao wanajua kuhusu hizi habari
.....utafiti usio kuwa rasmi umeonyesha Gen z ndo kabisa hawajui kinachoondelea wao wanasema bora liende hao viongozi hawachangii chochote ktk maisha yao


3-vijiwe vya kahawa baadhi wanazungumzia habari za vita uko iran, michezo na burudani uku wakidai kuzungumzia siasa hasa hii ya hapa bongo ni sawa na kumchonoa simba

4-wengne wanasema vita inapikwa soon moto utawaka

wacha nirudi mzigoni tutaonana badae wadau............loading.............
 
Back
Top Bottom