Kilwa94
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 2,640
- 2,926
Soma CPA kasome defensive factors ambazo zinaweza kukulinda usiwe liable.Utaelewa....Pamoja na uzibaji wa njia Sijui walijibishana nini kama muwajuavyo madereva bajaji na boda, keno akamlamba kibao kijana akaon sio kweli kaenda kweny bajaj yake katafuta silaha kaichukua, kwamba hapa naenda kujeruhi, kamchoma nayo" unasema kaua bila kukusudia? Basi Sheria ni pana aisee