Kilwa94
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 2,642
- 2,921
Unaandika hivi wewe kama nani unajiexpose kifala mno.Akifa huyo jamaa ijapokuwa ni mtuhumiwa,unajua kwamba jeshi(taasisi) inaweza kuwajibishwa mbele ya mahakama? Uzuri kikosi husika kinafahamika.Acheni kujipa kazi ya mahakama ya kutoa adhabu.Hadi muda huu tunavyo zungumza dereva bajaji hajafa. Tulimpata saa 8 za usiku akiwa anatoroka mapaka saa 9 tulifanikiwa kumminya kende na Kwa bahati mbaya kende Moja tumeipasua
Hakuna sehemu kwenye mwili wake ambayo hatujaigusa tulikuwa tunamfinya akipoteza fahamu tunamzindua Kwa madripu akiamka kipigo na kifinyo kinaendelea.
Mpaka muda huu tumefanikiwa kuichakaza vibaya ngozi yake kiasi ukimuangalia huwezi kutamani kula nyama na huwezi kuamini kuwa huyu ni mtu
Kwa kifupi huyu mtu alileta taflani kubwa iliyopelekea Jana usiku wanausalama wakarushiana risasi wenyewe Kwa wenyewe.
Ndugu zangu tujifunze kudhibiti hasira Kwa kilicho tokea jeshi Lina omboleza hivyo na lenyewe haliwezi kukubali hii ni kama kulizalilisha Jeshi.
Na kama mjuavyo history ya jeshi letu halijawahi kushindwa kitu pekee ilicho wahi kushindwa ni Yale maasi ya kumpindua Nyerere TU.
In advance Rest in Peace dereva bajaji. Maana najua hata tukimuachia aende zake Kwa alicho kipata awezi kufikisha masaa 72 akiwa hai
Eimu zenu ndogo mno na hata sheria ndogo ndogo hamzijui,mtaweza kuijua Katiba ya nchi na tuikeleza kweli?