KILIVITE
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 1,302
- 556
nachukia sana Dume mwenzio eti anakutext MAMBO MY?
Si Ushostito huo? au dume mwenzio humu jf unaanzisha thread then anakureply eti "AIBU NAONA MIMI"
Nachukia sana mtu anaposema.....'sina hela'......hizi kauli zinakatisha tamaa sana.......watu wajirekebishe.........hasa wanaume.......
Dah!!...hii kauli ilinifanya nikose penzi na mnuno juu..sitarudia kauli za kuumiza mtu.....maana siku ile mtoto wa watu alitokwa na machozi na akaanza kusema baby hunipendi, huwezi kuniambi maneno kama hayo inaonekana una msichana mwingine, kijana wa watu nikawa kama pilito....kwa kweli kauli zingine zinaweza kuvunja uhusiano au ndoa.Umesahau na hii " ulitakaje sasa"
baby gari yangu imeisha mafuta na niko kwa petro station nitumie laki mbili niweke mafuta baby i love u mwa!!
vizuri
Nachukizwa na watu ambao kila siku salamu uwasalimie wao ikitokea umejisahau wao hawakusalimii unasema isiwe tabu kama vipi na wewe unauchuna hakuna kumsalimia,baada ya siku kadhaa unasikia huyu jamaa huwa asalimii.
Mimi hili neno sio kama nalichukia ila nahisi silielewi
'niambie'
exactly wanataka kuambiwa nini?
mtu anakupgia cm then anakwambia lete story!
Demu hakupigii wala kubp, ukimpigia swali lake muhimu ni "za kunisusa...."
Mtu anakupigia simu bila sababu, utaskia "nambie..., lete story..., mambo mengine vipi"