Yumbayumba
JF-Expert Member
- May 31, 2012
- 1,240
- 850
Nachukia mtu akikupiga simu swali la kwanza nakuuliza uko wapi?
daah... inakera sana, ukimjibu ulipo atakuuliza unafanya nini? upo na nani? unarudi saa ngapi? hapo anakuhoji kwanza ndio aseme shida yake