Kauli zipi zinazokuchukiza hapa duniani?

Kauli zipi zinazokuchukiza hapa duniani?

"Otea, mi sio type yako, ulilazimishwa, aaagh wherever, a don care". Hapo unakuta yeye ndo mwenye kuhitaji msaada kutoka kwako
 
Nachukia sana mtindo wa sikuhiz wa wanawake kuandika "vepee" na baadhi ya wanaume wasiojielewa
 
Ni kweli haa kauli inakera sana hasa huu msimu wa sikukuu


Ha ha ha
 
huyu naye vipi, unanililia kwani nimekuzaa

Tafuta size yako


Ha ha ha ha ulimwengu mzuri ya walimwengu magumu saana..


Mie nina amini katika elimu..
Lolote linalotokea ni somo kwako usiumie nafsi chukulia kama fundisho sababu binadamu lazima ujifunze ndipo uishi!
 
Unakuta dume zima eti linaandika 'mwee' tena kikike kike
 
Ha ha ha ha ulimwengu mzuri ya walimwengu magumu saana..


Mie nina amini katika elimu..
Lolote linalotokea ni somo kwako usiumie nafsi chukulia kama fundisho sababu binadamu lazima ujifunze ndipo uishi!

ni kweli kabisa, na elimu nzuri ni ile itakayotambua kwenda na wakati & kukubali ukweli hata kama ni mchungu..
 
sina hela ya kulisha na kushibisha matumbo yote haya kwani ulilazimishwa uzae wengi_we mzee jiangalie na kauli zako
 
Huu uzi umenijuza kuwa duniani kuna kero nyingi sana.Kuzimaliza zote kunahitajika upako.
 
Back
Top Bottom