Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,943
Nachukia sana mtu anaposema.....'sina hela'......hizi kauli zinakatisha tamaa sana.......watu wajirekebishe.........hasa wanaume.......
"Nipe kidogo nichangamshe damu"
Nachukia sana mtu anaposema.....'sina hela'......hizi kauli zinakatisha tamaa sana.......watu wajirekebishe.........hasa wanaume.......
"Nipe kidogo nichangamshe damu"
Hehehe!
'nionjeshe'
Karanga hazionjwi chumvi.
Heri ya sikukuu mdogo wangu.
"Watapigwa tu, ehe maana hatuna namna sasa!"
"Kama huna nauli piga mbizi mpaka kigamboni"
"....eti hachomoi! ...sina nilichochomeka!"
"hapana sitaweza", "sijui", "bwana eeh fanya utavyoona ni sahihi", "sasa mi nifanyeje", "kwahiyo?"
k, p, ni herufi na wala siyo kauli..
kauli tata > achana na mambo yangu, nikwambie mara ngapi?
kauli za kuudhi > we endelea kunifuatilia, kitakachokukuta utajua mwenyewe..
kauli mbovu > unaning'ang'ania nini? achana na mimi kila mtu ana baba na mama yake..!
kauli zinazoumiza > nilifanya kosa kukupenda sasa najuta..
Hajakuzalau man ila mm apo nahis amekupa changamoto...work hard,people fall to succefully people
hahahahah mi huwa naishiwa pozi kabisa kigori wa kilwa
Huwa natamani kulia kwa kwelii maana haya majibu c mchezo