Nachukia sana mtu anaposema.....'sina hela'......hizi kauli zinakatisha tamaa sana.......watu wajirekebishe.........hasa wanaume.......
Hahahaha......kabisa mkuu hata mimi huwaga nakerekaga sana nikijibiwa jibu la hivyo.Vipi lakini kwema?Nachukia unapomtongoza mtu kuwa unampenda afu anakumbia Asante, hia sielewi kabisa hii asante inakuwa inakuweka njia panda huwa naichukia sana.
huyu naye vipi, unanililia kwani nimekuzaa
Soma ndio ujibu usikurupuke kama unaumwa tumbo ..... paka wa bar ww
Mie nachukia na hii kauli ya "k" badala ya "ok" hivi ni dharau au nn
Halafu anashinda bar akija amelewa sasa nauliza hizo pombe umepata wapi??
Nachukia sana mtu anaposema.....'sina hela'......hizi kauli zinakatisha tamaa sana.......watu wajirekebishe.........hasa wanaume.......
Nachukia sana mtu anaposema.....'sina hela'......hizi kauli zinakatisha tamaa sana.......watu wajirekebishe.........hasa wanaume.......
Hahahaha......kabisa mkuu hata mimi huwaga nakerekaga sana nikijibiwa jibu la hivyo.Vipi lakini kwema?
Nachukia sana mtu anaposema.....'sina hela'......hizi kauli zinakatisha tamaa sana.......watu wajirekebishe.........hasa wanaume.......
Kwema mkuu
Mie nachukia na hii kauli ya "k" badala ya "ok" hivi ni dharau au nn
huyu naye vipi, unanililia kwani nimekuzaa
Soma ndio ujibu usikurupuke kama unaumwa tumbo ..... paka wa bar ww
naona unataka lugha zenye kukusifia ..
Huyu Kigoli Keshakwiva anafaa Kuliwa sasa.. umeridhika?
naona unataka lugha zenye kukusifia ..
Huyu Kigoli Keshakwiva anafaa Kuliwa sasa.. umeridhika?
Nilizike nimekuzaa mie