Kauli za wanawake zinazoboa

Kauli za wanawake zinazoboa

Nop wapo wako wenye heshima unataka kusema nchi nzima hakuna? Duhhh utakuwa umekata tamaa kwa kilicho kusibu
 
Honest has a power that very few people can handle mimi pamoja na ubaya wake nlikua nalitumia sana hilo neno ila leo nimejua sikua nadhalilisha rather ni Praise tu kwa kina dada, sasa itabidi uchekeleee sasa hivi ukiitwa demu
Neno lenyewe dame( dem) limekuja kwetu Tanzania kupitia njia ya kenya, yaani kenya ndio walianza kulitumia Hilo neno kwenye lugha Yao ya sheng. Sheng moja ya sifa zake ni kuwa mchanganyiko wa Kiswahili na kingereza pamoja na lugha zingine za kiafrika.
 
DEMU ni tambala chafu la kufutia miguu au kudekia kasome kamusi ya kiswahili mtarudisha jibu hapa...!
 
[QU OTE="KATASAN'KAZA, post: 14983526, member: 158949"]DEMU ni tambala chafu la kufutia miguu au kudekia kasome kamusi ya kiswahili mtarudisha jibu hapa...![/QUOT
Neno dem kwa maana mwanamke sio neno halisi la Kiswahili. Ni lugha ya mtaani (sheng) maana yake huwezi kuipata kwenye kamusi. Ila neno demu(neno la Kiswahili) na neno dame(dem) ni maneno ambayo utamkaji wao unawiana. Ila ni maneno mawilli tofauti. Kwa kingereza yanaitwa homphones. Mfano: two, too, to. xikumbuki kwa Kiswahili yanaitwaje. Kama kuna mtu anajua anisaidie
 
huyu ni kimada mkuu,hao kubwa wanalotaka ni hela tu hakuna la zaidi,ukimwaga mpunga kauli zinabadilika,ishu iko kwenye ndoa unatoa kila kitu kwa mke lakini bado misala haiishi.

habar za wakati wana jf kuna kauli za wanawake ambazo zinanikera sana.bila kupoteza muda baadhi ya kauli hizo ni zifuatazo~
1.ukimwambia i luv u utamsikia anakwambia hilo neno mara ya mwisho kumwambia mama yako ilikuwa lini(jamani sasa ye inamuhusu)


2.ukimnunulia simu ya tochi utamsikia"unaninunuliasimu ya tochi kwani mi mlinzi"

3.mkigombana kidogo utamsikia"haloo ukisusa wenzio wala babu we"

4.kauli nyingine ni ile kuwaita wanaume mabuzi kwani sisi wanyama mpaka mtuite mbuzi mko*e utasikia"shoga nimelipata buzi hilo linahonga"
wadada hizi sio kauli nzur acheni kama kuacha ni ngumu mwaka ujao mtatoka ngeu
 
Habar za wakati wana JF,

Kuna kauli za wanawake ambazo zinanikera sana, bila kupoteza muda baadhi ya kauli hizo ni zifuatazo;

1.Ukimwambia i luv u utamsikia anakwambia hilo neno mara ya mwisho kumwambia mama yako ilikuwa lini(jamani sasa ye inamuhusu)


2. Ukimnunulia simu ya tochi utamsikia"unaninunulia simu ya tochi kwani mi mlinzi"

3. Mkigombana kidogo utamsikia"haloo ukisusa wenzio wala babu we"

4. Kauli nyingine ni ile kuwaita wanaume mabuzi, kwani sisi wanyama mpaka mtuite mbuzi mko*e utasikia"shoga nimelipata buzi hilo linahonga"

Wadada hizi sio kauli nzuri acheni kama kuacha ni ngumu mwaka ujao mtatoka ngeu.
5.kwanza we mwanaume suruali tu ngoja niende kwenye ambao wana wallet
 
[QUOTE="habari ya hapa, post: 14985738, member: 114221"
Mapepe
Changu
we uloshindikana

aiseee mengine utapata kwa wengine[/QUOTE]
Duuu...pole sana , sasa katika majina yote haya uliyoyataja , wewe
ushalishika jina lako la mwanzo , la katik kati na la mwisho...? maaana unaweza itwa usijue kama
ni wewe uliyeitwa, maana nimeona orodha ndefu ya majina uliyowahi itwa.
 
[QUOTE="habari ya hapa, post: 14985738, member: 114221"
Mapepe
Changu
we uloshindikana

aiseee mengine utapata kwa wengine
Duuu...pole sana , sasa katika majina yote haya uliyoyataja , wewe
ushalishika jina lako la mwanzo , la katik kati na la mwisho...? maaana unaweza itwa usijue kama
ni wewe uliyeitwa, maana nimeona orodha ndefu ya majina uliyowahi itwa.[/QUOTE]
nakumbuka kipindi nimeitwa we ****, nilikuwa chuo cha kujifunza ngumi, kabla na baada ya hapo sijawahi sikia MTU akiniita hivyo, ila haya majina nilikuorodheshea hapo wanaume walo wengi hutumia kuwaita wanawake, naishi na jamii nashirikiana nayo mambo mengi najua, wanawake tunadhalilishwa sana kwa kuitwa majina ya ajabu ajabu
 
Majina hayo niyakishenz sana.mfano mwanamke unaweza ukajitoa kwake ukawa unamsaidia kila atakacho .lakin akiwa pemben na wenzake anakuita buzi.mi wanamke akiniita buz hana chake
 
Kimtokacho mtu, ndicho kiujazacho moyo wake
^^
 
eti mama yako umemwambia lini ilo neno mara ya mwisho,,..girls bwana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom