RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,799
- 129,636
Inategemea hicho kitochi unampa nan....Kivipi? Kwahio kitochi sio simu sahihi kumpa mwanamke/msichana? Kama ndio uwezo ulipoishia? Sio kila mtu anaweza kununua iphone 6
Dame is a noble title the equivalent of sir. The same way you can call your man' my knight in shining amour' he can call you his dame which is same as knight(sir)
Ndugu yangu si amesema ni equivalent ? Kosa lake liko wapi ?? Sijaona aliposema unaitwa mwanaume ingali wewe ni mwanamkeEti dame inamaana ya "sir"duuu ina maana tunaitwa mwanaume ingali ni mwanamke (where is my dictionary hii lugha iliyokuja na meli duu ni shiiida)
You misunderstood my point. Dame is to a woman while knight is to a man. Therefore a knight is addressed as sir while dame is addressed as madam. For example: Dame Judy Dench. ( the lady who plays the role of M, James Bond's boss in James bonds films)Eti dame inamaana ya "sir"duuu ina maana tunaitwa mwanaume ingali ni mwanamke (where is my dictionary hii lugha iliyokuja na meli duu ni shiiida)
Yeah Kiswahili Kama lugha nyingine ile yoyote ili kukua inatohoa maneno kutoka lugha zingineHivi kumbe asili ya neno demu ndio limepatikana huku ? Kiswahili kipana kweli kweli
Hili nlikua silijui mimi nashukuru maana mtaani kwetu wanasema maana ya demu ni tambara bovu ,kumbe maana yake halisi kutoka huko kwenye kingereza ni tofauti kabisa na nilivyo aminishwaYeah Kiswahili Kama lugha nyingine ile yoyote ili kukua inatohoa maneno kutoka lugha zingine
Inamaana unataka kusema kusema kuwa kinyume cha buzi ni demu...?Hhhha hiyo no 4 mnaona kero kuitwa hivyo na nyie muache kutuita demu (mademu)
ashakwambia kwani yeye mzee wa lindo "mlinzi".Inamaana yeye hata kununua nokia ya tochi hawezi?
atakwambia kwani yeye ni "mtoto / kichanga" mpaka umnunulie simu ya toy..?Ukimnunulia kitochi akikuambia yy mlinzi siku nyengine mnunulie toys ya simu kabisa
Utakuwa na wewe hiyo kauli huwa unaitumia sana.Namba moja imenichekesha sanaaaaa ( kiukweli hayamhusu kabisa)
Yataje majinahayo ili tuyajue sote , maana isije kuwa mengine ndiyo huwaWanawake ndo wanaongoza kuitwa majina ya ajabu ajabu hapa duniani, sie ndo tungepaswa tulalamike, mkuki kwa ngurue sio, kajifungie ndani ulale km unakereka