Kauli za wanawake zinazoboa

Kauli za wanawake zinazoboa

Hata mimi nilikua nafaham kama wewe duuu thnks jf
Kwa kweli inabidi tu tushukuru Jf ...tatizo lipo sasa kwenye kubadilisha mentality za watu kutoka kwenye maana ya demu isiyo leta picha nzuri kwenda kwenye maana ya demu wa kiingereza
Na tulisha aminishwa vibaya mwanzoni
 
Babie nimeku miss... ujue anashida huyo.. jiandae...
 
Kwa kweli inabidi tu tushukuru Jf ...tatizo lipo sasa kwenye kubadilisha mentality za watu kutoka kwenye maana ya demu isiyo leta picha nzuri kwenda kwenye maana ya demu wa kiingereza
Na tulisha aminishwa vibaya mwanzoni
Kwel kabisa mkuu na to be honest sikua napenda mtu aniite hilo jina yaani naweza mtusi kabisa na ikitokea mtu kaaniita njian sigeuki kabisaa
 
Kwel kabisa mkuu na to be honest sikua napenda mtu aniite hilo jina yaani naweza mtusi kabisa na ikitokea mtu kaaniita njian sigeuki kabisaa

Honest has a power that very few people can handle mimi pamoja na ubaya wake nlikua nalitumia sana hilo neno ila leo nimejua sikua nadhalilisha rather ni Praise tu kwa kina dada, sasa itabidi uchekeleee sasa hivi ukiitwa demu
 
Hizo kauli zinatokana na wanaume kuwaumiza wanawake soo wanakuwa hawana uwaminifu na wanaume imani inatoweka
 
Honest has a power that very few people can handle mimi pamoja na ubaya wake nlikua nalitumia sana hilo neno ila leo nimejua sikua nadhalilisha rather ni Praise tu kwa kina dada, sasa itabidi uchekeleee sasa hivi ukiitwa demu
Hhhhhha
 
Hizo kauli hutumiwa na wanawake wa kiswazi sana, yani wale ambao hata shule walikimbia umande,wao hawajishughulishi na chochote in short wapo wapo tu, sasa wewe mpaka uanze mahusiano na watu kama hao wastarabu unakua huwaoni??
Una akili sana wewe, coz umeongea pont nitakutafuta
 
habar za wakati wana jf kuna kauli za wanawake ambazo zinanikera sana.bila kupoteza muda baadhi ya kauli hizo ni zifuatazo~
1.ukimwambia i luv u utamsikia anakwambia hilo neno mara ya mwisho kumwambia mama yako ilikuwa lini(jamani sasa ye inamuhusu)


2.ukimnunulia simu ya tochi utamsikia"unaninunuliasimu ya tochi kwani mi mlinzi"

3.mkigombana kidogo utamsikia"haloo ukisusa wenzio wala babu we"

4.kauli nyingine ni ile kuwaita wanaume mabuzi kwani sisi wanyama mpaka mtuite mbuzi mko*e utasikia"shoga nimelipata buzi hilo linahonga"
wadada hizi sio kauli nzur acheni kama kuacha ni ngumu mwaka ujao mtatoka ngeu



Mi ndiyo maana sipendi mademu wa kibongo, nawagegeda tu na kuwatia hasara kama wafanyavyo mademu wa kichagga a.k.a. majinamizi ya talaka. Nawatumia pale when I need kuwa do kisha nasepa zangu, Yes mnaweza kuniita demu la kichagga wa kiume ila kwa kweli mademu wa kibongo ni ishu.
 
Wewe umekutana na vimeo.... Wanawake sio wote wako hivyo... Asilimia kubwa sana wana upendo wa dhati wanajali na wana heshima kuliko hata wanaume wengi


Ni kweli, na ndiyo maana 50% ya watoto mnaozaa ndani ya ndoa ni wa wanaume wengine kwa ajili ya upole na kujali kugawa huku mkijiheshimu.
 
Mi ndiyo maana sipendi mademu wa kibongo, nawagegeda tu na kuwatia hasara kama wafanyavyo mademu wa kichagga a.k.a. majinamizi ya talaka. Nawatumia pale when I need kuwa do kisha nasepa zangu, Yes mnaweza kuniita demu la kichagga wa kiume ila kwa kweli mademu wa kibongo ni ishu.
Sio wote wako hivyoo wengine wako na heshima zao pia hata popote ukienda utakumbana nao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom