Uchaguzi 2020 Kauli za Mgombea CCM Dkt. Magufuli kuhusu umwagaji wa damu zina maana gani?

"Baba wa Taifa ametawala kwa miaka 20+, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, Kikwete miaka 10 hatukumwaga damu. Na mimi katika miaka 5 niliyotawala sikumwaga damu! Amani na usalama wa Watanzania ni kitu kikubwa, usiombe vita ni mbaya." -- Dkt. John Magufuli akiwa Kawe jana tarehe 14.

Nini maana ya kauli hii? Damu inamwagikaje yaani? Kwamba akiishia miaka mitano kutakuwa na umwagaji damu?

Tujadili kwa kina sana
Kama hakumwaga damu na hataki kumwaga damu wasiwasi unatoka wapi!?
 
"Baba wa Taifa ametawala kwa miaka 20+, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, Kikwete miaka 10 hatukumwaga damu. Na mimi katika miaka 5 niliyotawala sikumwaga damu! Amani na usalama wa Watanzania ni kitu kikubwa, usiombe vita ni mbaya." -- Dkt. John Magufuli akiwa Kawe jana tarehe 14.

Nini maana ya kauli hii? Damu inamwagikaje yaani? Kwamba akiishia miaka mitano kutakuwa na umwagaji damu?

Tujadili kwa kina sana
Da!!! kwa kauli hizi kweli huyu ni mtu wa kumchagua tena jamani ...

Sijawahi kuona Raisi wa ajabu duniani kama Maguli
 
"Baba wa Taifa ametawala kwa miaka 20+, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, Kikwete miaka 10 hatukumwaga damu. Na mimi katika miaka 5 niliyotawala sikumwaga damu! Amani na usalama wa Watanzania ni kitu kikubwa, usiombe vita ni mbaya." -- Dkt. John Magufuli akiwa Kawe jana tarehe 14.

Nini maana ya kauli hii? Damu inamwagikaje yaani? Kwamba akiishia miaka mitano kutakuwa na umwagaji damu?

Tujadili kwa kina sana
Msamehe bure kuna tatizo mahali,ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha
 
Jiwe mwisho wake umefika..NEC ,Police,Tiss wala jeshi hakuna wa kumsaidia
 
MKIRU, Ben Saanane, Azory, Akwilina, Maiti za coco beach kwenye sandaru, kutekwa, kupotezwa et etc etc. hasya yote hayakutokea huko nyuma isipokuwa kwako ....
Pengine kumwaga damu kuna tafsiri zaidi ya mbili
 
Mwacheni huyo muuaji amekwisha changanyikiwa. Kwa mtu mwenye akili nzuri ni vigumu kumuelewa kichaa. Damu ya watu inamfanya asiongee kitu chenye kueleweka.
 
"Baba wa Taifa ametawala kwa miaka 20+, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, Kikwete miaka 10 hatukumwaga damu. Na mimi katika miaka 5 niliyotawala sikumwaga damu! Amani na usalama wa Watanzania ni kitu kikubwa, usiombe vita ni mbaya." -- Dkt. John Magufuli akiwa Kawe jana tarehe 14.

Nini maana ya kauli hii? Damu inamwagikaje yaani? Kwamba akiishia miaka mitano kutakuwa na umwagaji damu?

Tujadili kwa kina sana
First things first.

Mkapa kamwaga damu Zanzibar. Mpaka kaomba radhi kwenye kitabu chake.

Magufuli hajui hili?

Hajasoma hata dondoo za kitabu cha Mkapa?

Au anachochea fake news tu?
 
Hawa jamaa wanashangaza sana; sijawahi kuwasikia wakiongelea HAKI.... wao kila siku ni amani, amani

Hawa watu ni hatari mno, asanteni watanzania kwa kuwashitukia.....wameshaligawa hili taifa vipande vipande...

Say NO kwa hawa watu.
 
Unaposema ccm itatawala milele wakati inashindwa kila uchaguzi huo si umwagaji damu
 
Ukieleza kuwa kama tutashindwa, basi hatukubali tutawaeleza wanachama wetu waandamane mitaani! Huo si umwagaji wa damu kama ya akwilina?
Kuandamana ni kumwaga damu? Hili ni tatizo la kutawaliwa na chama kimoja kwa miaka mingi akili inachoka na kudumaa.,
 
"Baba wa Taifa ametawala kwa miaka 20+, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, Kikwete miaka 10 hatukumwaga damu. Na mimi katika miaka 5 niliyotawala sikumwaga damu! Amani na usalama wa Watanzania ni kitu kikubwa, usiombe vita ni mbaya." -- Dkt. John Magufuli akiwa Kawe jana tarehe 14.

Nini maana ya kauli hii? Damu inamwagikaje yaani? Kwamba akiishia miaka mitano kutakuwa na umwagaji damu?

Tujadili kwa kina sana
Siku ukirudi kwenu ukiwakuta ndugu zako wamechinjwa na Machettes ujue ndiyo umwagaji wa damu huo na vita ya wenyewe kwa wenyewe imesha anza.
 
Back
Top Bottom