Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,677
- 26,998
Ni kweli huko nyuma hakukuwahi kuwa na mauaji ya namna yoyote ile,hata wewe ukiua sasahivi atakuwa kaua Magufuli.MKIRU, Ben Saanane, Azory, Akwilina, Maiti za coco beach kwenye sandaru, kutekwa, kupotezwa et etc etc. hasya yote hayakutokea huko nyuma isipokuwa kwako ....