Kauli za kufikirisha za waziri mkuu Majaliwa akijiondoea kugombea ubunge Ruangwa.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
57,243
Reaction score
90,301
Amesema,

1. Sasa amewaruhusu watu wengine wakashike nafasi yake ya ubunge wa Ruangwa.

2. Wagombea wote wa ubunge waliojitokeza ni wazaliwa wa Ruangwa, wana uwezo wa kuleta maendeleo.

3.Hatua yake ya kuacha ubunge wa Ruangwa imeongozwa na Mungu.
 
Katumia busara tumuache apumzike asije kuwa kama yule bata
 
Hiyo busara ilikuwa wapi wiki iliyopita alipotangaza kugombea tena?
Mtu mwenye busara hushaurika sio sawa na yule bata alishauriwa hadi na press conference lakini akang'ang'ania kugombea mwisho wa siku chalii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…