Wengine mnakuwa na akili zilizooza ,sasa kama chake chama ndio kinaongoza dola ,mnataka awe kama miccm kazi iwe kupiga makofi hata kama jambo halina faida ? mambo yenu hayo ya kujaza bunge hayana faida ,maana tunawaona mkisinzia vigogo wanapitisha dili,mkisituka mnapiga makofi ,aloo kweli tunahitaji kuing'oa CCM. mupaka watu iko na kufikiria bungeni ni kuunga mkono chama chako tu .bado mna mahesabu ya kulindana ila muda si mlefu mawazo ya mabadiliko yatawafungua akili.
Hapa Mabadiliko tu kazi baadae.