- Thread starter
- #141
naona ulipost haraka haraka ili tu uwe wa kwanza kupost ila kwakweli hujaielewa thread
ikisimama panda!!
naona ulipost haraka haraka ili tu uwe wa kwanza kupost ila kwakweli hujaielewa thread
John Mnyika, Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema jana alitoa kauli ambayo kidogo ilitufanya wachache tufikirie tofauti na dhamira kuu ya UKAWA kuwaondoa CCM.
Mnyika alisema, wananchi wa Ubungo na Kibamba wafikirie juu ya uwepo wake na Kubenea ndani ya bunge utakavyoitikisa serikali...
Kwa kauli hii inamaanisha kuwa Mnyika haamini kama Ukawa watachukua nchi!!
Au alimaanisha wataitikisa serikali yao wenyewe watakaoiunda?
It means hawaamini kama Serikali ya CCM itatoka madarakani, wakati sisi wananchi wa kawaida tushaliona anguko kubwa la Chama cha Mapinduzi.
Yaweza kuwa hukuelewa au huelewi kazi za mbunge. Kazi kubwa ya mbunge ni kuisimamia serikali....Hata kama ni serikali ya chama chako lazima isimamiwe. Kwa hali hiyo wakiingia bungeni wataisimamia vizuri serikali yao chini ya CDM kwa mwamvuli wa UKAWA hivyo kuleta ufanisi
Yaweza kuwa hukuelewa au huelewi kazi za mbunge. Kazi kubwa ya mbunge ni kuisimamia serikali....Hata kama ni serikali ya chama chako lazima isimamiwe. Kwa hali hiyo wakiingia bungeni wataisimamia vizuri serikali yao chini ya CDM kwa mwamvuli wa UKAWA hivyo kuleta ufanisi
John Mnyika, Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema jana alitoa kauli ambayo kidogo ilitufanya wachache tufikirie tofauti na dhamira kuu ya UKAWA kuwaondoa CCM.
Mnyika alisema, wananchi wa Ubungo na Kibamba wafikirie juu ya uwepo wake na Kubenea ndani ya bunge utakavyoitikisa serikali...
Kwa kauli hii inamaanisha kuwa Mnyika haamini kama Ukawa watachukua nchi!!
Au alimaanisha wataitikisa serikali yao wenyewe watakaoiunda?
It means hawaamini kama Serikali ya CCM itatoka madarakani, wakati sisi wananchi wa kawaida tushaliona anguko kubwa la Chama cha Mapinduzi.
Huenda sijaielewa lakini ukweli upo palepale hauwezi kuwaziba mdomo hao Bungeni, iwe Serikali ya Lowassa au Magufuli....ie Hawanunuliki hao watu!!naona ulipost haraka haraka ili tu uwe wa kwanza kupost ila kwakweli hujaielewa thread
John Mnyika, Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema jana alitoa kauli ambayo kidogo ilitufanya wachache tufikirie tofauti na dhamira kuu ya UKAWA kuwaondoa CCM.
Mnyika alisema, wananchi wa Ubungo na Kibamba wafikirie juu ya uwepo wake na Kubenea ndani ya bunge utakavyoitikisa serikali...
Kwa kauli hii inamaanisha kuwa Mnyika haamini kama Ukawa watachukua nchi!!
Au alimaanisha wataitikisa serikali yao wenyewe watakaoiunda?
It means hawaamini kama Serikali ya CCM itatoka madarakani, wakati sisi wananchi wa kawaida tushaliona anguko kubwa la Chama cha Mapinduzi.
hapo ndiyo umeandika nini sasa?
john mnyika, mgombea ubunge kwa tiketi ya chadema jana alitoa kauli ambayo kidogo ilitufanya wachache tufikirie tofauti na dhamira kuu ya ukawa kuwaondoa ccm.
Mnyika alisema, wananchi wa ubungo na kibamba wafikirie juu ya uwepo wake na kubenea ndani ya bunge utakavyoitikisa serikali...
Kwa kauli hii inamaanisha kuwa mnyika haamini kama ukawa watachukua nchi!!
Au alimaanisha wataitikisa serikali yao wenyewe watakaoiunda?
It means hawaamini kama serikali ya ccm itatoka madarakani, wakati sisi wananchi wa kawaida tushaliona anguko kubwa la chama cha mapinduzi.
Mnyika anajifahamu sio akina mwigulu wa kusema ndioooooooooooooooooo na kulinda serikali yule atasimama kwa niaba ya wananchi pindi lowassa akiingia madarakanimnyika anajua wazi cdm haishindi ila wewe unaburuzwa tu huna utafiti binasfi
Mnyika ni aina ya wabunge ambao hawawezi rubuniwa na serikali ya Lowassa sio mbunge chapa maandazi anajua watu kama akina lowassa bunge likiwa legelege watajisahau mtindo wa ccmSio Mnyika tu Dr Slaa na Lipumba waliliona hilo mapema ndo maana wakasepa zao.... #hapa kazi tu mpaka kukuche.