Halafu mtu kama wewe unaweza kuwa umemaliza chuo kikuu! Na bado unaamini katika upotofu kuwa mbunge wa chama tawala hawezi kuisema serikali yake! Ndugu, wale wazee wa vijijini ambao hawajaenda shule watakuwa na mawazo gani kama wewe ubongo wako umejaa matope namna hii?
Ishu ni kwamba Mnyika hajawahi kupinga uovu wowote ndani ya chama chake hicho sasa kiwe madarakani ndo akitikise?? No way, he knows yeye ni mpinzani tu... Na kaona mbali aisee..