Mnyika anajua kuwa hawawezi kushinda nafasi ya urais.
Anauhakika watashinda hata urais, ila hana uhakika kama atateuliwa kuwa waziri.
Mnyika anajua kuwa hawawezi kushinda nafasi ya urais.
Huwezi kuitoa ccm madarakani hata siku moja
Yaweza kuwa hukuelewa au huelewi kazi za mbunge. Kazi kubwa ya mbunge ni kuisimamia serikali....Hata kama ni serikali ya chama chako lazima isimamiwe. Kwa hali hiyo wakiingia bungeni wataisimamia vizuri serikali yao chini ya CDM kwa mwamvuli wa UKAWA hivyo kuleta ufanisi
Hata serikali ya ukawa inahitaji kutikiswa inapolegalega, hajakosea
kwa hiyo ulitaka wasiionye serikali hata kama ikikosea????
ACHANA NA UCHAMA MKUU WEKA UZALENDO MBELE
Huwezi kuitoa ccm madarakani hata siku moja
John Mnyika, Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema jana alitoa kauli ambayo kidogo ilitufanya wachache tufikirie tofauti na dhamira kuu ya UKAWA kuwaondoa CCM.
Mnyika alisema, wananchi wa Ubungo na Kibamba wafikirie juu ya uwepo wake na Kubenea ndani ya bunge utakavyoitikisa serikali...
Kwa kauli hii inamaanisha kuwa Mnyika haamini kama Ukawa watachukua nchi!!
Au alimaanisha wataitikisa serikali yao wenyewe watakaoiunda?
It means hawaamini kama Serikali ya CCM itatoka madarakani, wakati sisi wananchi wa kawaida tushaliona anguko kubwa la Chama cha Mapinduzi.