Kauli ya Mnyika, Inakatisha tamaa...

Kauli ya Mnyika, Inakatisha tamaa...

hapo wote wachumia tumbo tu ccm mfumo wa wizi wameshatuchosha, ukawa hawakujipanga kuchukua nchi wametuchanganya tu wapiga kura!
 
Wengine mnakuwa na akili zilizooza ,sasa kama chake chama ndio kinaongoza dola ,mnataka awe kama miccm kazi iwe kupiga makofi hata kama jambo halina faida ? mambo yenu hayo ya kujaza bunge hayana faida ,maana tunawaona mkisinzia vigogo wanapitisha dili,mkisituka mnapiga makofi ,aloo kweli tunahitaji kuing'oa CCM. mupaka watu iko na kufikiria bungeni ni kuunga mkono chama chako tu .bado mna mahesabu ya kulindana ila muda si mlefu mawazo ya mabadiliko yatawafungua akili.

Hapa Mabadiliko tu kazi baadae.
 
Kazi ya bunge ni kuisimamia serikali, kuikumbusha serikali na itaendelea kubaki Hiyo Hiyo.
 
John Mnyika, Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema jana alitoa kauli ambayo kidogo ilitufanya wachache tufikirie tofauti na dhamira kuu ya UKAWA kuwaondoa CCM.

Mnyika alisema, wananchi wa Ubungo na Kibamba wafikirie juu ya uwepo wake na Kubenea ndani ya bunge utakavyoitikisa serikali...
Kwa kauli hii inamaanisha kuwa Mnyika haamini kama Ukawa watachukua nchi!!
Au alimaanisha wataitikisa serikali yao wenyewe watakaoiunda?

It means hawaamini kama Serikali ya CCM itatoka madarakani, wakati sisi wananchi wa kawaida tushaliona anguko kubwa la Chama cha Mapinduzi.

mbunge ni mwakilishi wa wananchi ktk jimbo husika,anaposema serikali anamaanisha excutive part of the gvt
 
John Mnyika, Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema jana alitoa kauli ambayo kidogo ilitufanya wachache tufikirie tofauti na dhamira kuu ya UKAWA kuwaondoa CCM.

Mnyika alisema, wananchi wa Ubungo na Kibamba wafikirie juu ya uwepo wake na Kubenea ndani ya bunge utakavyoitikisa serikali...
Kwa kauli hii inamaanisha kuwa Mnyika haamini kama Ukawa watachukua nchi!!
Au alimaanisha wataitikisa serikali yao wenyewe watakaoiunda?

It means hawaamini kama Serikali ya CCM itatoka madarakani, wakati sisi wananchi wa kawaida tushaliona anguko kubwa la Chama cha Mapinduzi.

kAZI MOJAWAPO YA MBUNGE NI KUIKOSOA SERIKALI HAIJALISHI NI YA CHAMA CHAKE AU LAA.
 
Anamaanisha anajua hawawezi kushinda...na wote hao Mnyika na Kubenea hawana chao...wajiandae kuwa wahariri wazuri tu wa mawio sijui mawingu
 
Kauli ya mnyika safi, hata kama anajua watachukua Nchi hajaweka wazo la kupata madalaka ya uwaziri, ni mpambanaji mzuri huyo. Wengine wakikosa post wanaasi chama. Bigup Mnyika.
 
Mnyika anaelewa mziki wa magufuli na Makali ya CCM wananchi hawataki mabadiliko ya Bahati mbaya wanataka mabadiliko ya kweli
 
Maana yake hawatafanya kazi ya ccm yaani(Unafiki) njano ni njano na nyeusi ni nyeusi kisa chama tawala,sio wabunge wa ccm nyeusi wenyewe wanasema ni njano,
 
Wananchi wa kibamba wamemchoka mnyika wanataka mabadiliko wanamtaka mama dkt.Fenella
 
Kumbukumbu zangu nakumbuka Mnyika alikuwa kinara wakupinga kuongezeka kwa majimbo ya uchaguzi na fujo juu kwenye kikao, huku tena ameenda kugombea kwenye jimbo jipya; hawa jamaa sidhani kama wanajua saa zingine kila wanachopinga.
 
John Mnyika, Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema jana alitoa kauli ambayo kidogo ilitufanya wachache tufikirie tofauti na dhamira kuu ya UKAWA kuwaondoa CCM.

Mnyika alisema, wananchi wa Ubungo na Kibamba wafikirie juu ya uwepo wake na Kubenea ndani ya bunge utakavyoitikisa serikali...
Kwa kauli hii inamaanisha kuwa Mnyika haamini kama Ukawa watachukua nchi!!
Au alimaanisha wataitikisa serikali yao wenyewe watakaoiunda?

It means hawaamini kama Serikali ya CCM itatoka madarakani, wakati sisi wananchi wa kawaida tushaliona anguko kubwa la Chama cha Mapinduzi.
Anza kwanza kwa kujiuliza kazi za bunge ni nini? Nafikiri mfumo tuliokuwa nao umetudumaza
 
John Mnyika, Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema jana alitoa kauli ambayo kidogo ilitufanya wachache tufikirie tofauti na dhamira kuu ya UKAWA kuwaondoa CCM.

Mnyika alisema, wananchi wa Ubungo na Kibamba wafikirie juu ya uwepo wake na Kubenea ndani ya bunge utakavyoitikisa serikali...
Kwa kauli hii inamaanisha kuwa Mnyika haamini kama Ukawa watachukua nchi!!
Au alimaanisha wataitikisa serikali yao wenyewe watakaoiunda?

It means hawaamini kama Serikali ya CCM itatoka madarakani, wakati sisi wananchi wa kawaida tushaliona anguko kubwa la Chama cha Mapinduzi.


Halafu mtu kama wewe unaweza kuwa umemaliza chuo kikuu! Na bado unaamini katika upotofu kuwa mbunge wa chama tawala hawezi kuisema serikali yake! Ndugu, wale wazee wa vijijini ambao hawajaenda shule watakuwa na mawazo gani kama wewe ubongo wako umejaa matope namna hii?
 
John Mnyika, Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema jana alitoa kauli ambayo kidogo ilitufanya wachache tufikirie tofauti na dhamira kuu ya UKAWA kuwaondoa CCM.

Mnyika alisema, wananchi wa Ubungo na Kibamba wafikirie juu ya uwepo wake na Kubenea ndani ya bunge utakavyoitikisa serikali...
Kwa kauli hii inamaanisha kuwa Mnyika haamini kama Ukawa watachukua nchi!!

It means hawaamini kama Serikali ya CCM itatoka madarakani, wakati sisi wananchi wa kawaida tushaliona anguko kubwa la Chama cha Mapinduzi.
CCM imewalemaza akili hata hamjui nini kazi za Bunge. Mnadhani Bunge ni sehemu ya Serikali. Poleni sana, hamuwezi kumuelewa Mnyika.
 
Kumbukumbu zangu nakumbuka Mnyika alikuwa kinara wakupinga kuongezeka kwa majimbo ya uchaguzi na fujo juu kwenye kikao, huku tena ameenda kugombea kwenye jimbo jipya; hawa jamaa sidhani kama wanajua saa zingine kila wanachopinga.

Kwa hyo kwa kuwa ni jimbo jipya ulitegemea wapewe zawadi tu ccm?
 
Kwa hyo kwa kuwa ni jimbo jipya ulitegemea wapewe zawadi tu ccm?
Hapana ila kwanini usifikirie mbele kabla ya kupinga kitu; angebaki basi walau ata ubungo tungeishimu misimamo yake lakini kwenda kwenye jimbo jipya yeye mwenyewe kwahivyo alikuwa anapinga kwa misingi gani in the first place. Sio wabunge wote wa CDM walipinga lakini yeye alikuwa mstari wa mbele kwenye vyombo vya habari surely unategemea mwanasiasa anaepinga kwa utashi wake basi ana simamia kanuni zilezile.

You know what they say: once is happen-stance, twice is a coincidence and thrice is an action. CDM awajahi kusimamia kauli zao katika maisha yao ya siasa zilizobaki ni kwa sababu azijakuwa tasted only.
 
John Mnyika, Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema jana alitoa kauli ambayo kidogo ilitufanya wachache tufikirie tofauti na dhamira kuu ya UKAWA kuwaondoa CCM.

Mnyika alisema, wananchi wa Ubungo na Kibamba wafikirie juu ya uwepo wake na Kubenea ndani ya bunge utakavyoitikisa serikali...
Kwa kauli hii inamaanisha kuwa Mnyika haamini kama Ukawa watachukua nchi!!
Au alimaanisha wataitikisa serikali yao wenyewe watakaoiunda?

It means hawaamini kama Serikali ya CCM itatoka madarakani, wakati sisi wananchi wa kawaida tushaliona anguko kubwa la Chama cha Mapinduzi.
Hivi wewe una ubongo au makamasi? Kazi ya Mbunge ni kuisimamia serikali haijalishi ni ya chama chako ama sio chako
 
Back
Top Bottom