Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 9,036
- 12,603
Cha ajabu alishindwa kumuona yule afande aliyepanda kizimbn Na madesa, Tz ni nchi ya ovyo Sana kuishi
Hivi wewe mkuu huna hata aibu wakati mwingine kukurupuka kujibu mada ambazo aidha hujaelewa content ama unajitoa tu ufahamu. Wakati mwingine ushabiki weka pembeni ama kaa kimya kama huna chakuchangia.Mna visingizio sana tulieni dawa iwaingie maana mlitamba sana mama anaupiga mwingi.
Mkome kabisa tabia ya kuingilia mahakama.
Nilijua tu, kwenye cross examination mawakili wa serikali lazima waonekane kituko, hawana namna yoyote ya kumuondoa shahidi kwenye reli vinginevyo wakizidi kumuuliza maswali yasiyoeleweka ndio shahidi atazidi kufunguka wazidi kuvuliwa nguo na waliowatuma.Nadhani ameshangazwa na umakini wa shahidi mshitakiwa. Kama shahidi mashitakiwa kaamua kusema ukweli anaoujua yeye, ni lazima wenye hila wajiulize kwanini yuko na mtiririko huo...
Mimi sidhani kwamba haamini, ninadhani kuwa shahidi katoa maelezo mazuri na kwa ufasaha hadi jaji akahisi kuwa anafundishwa majibu, inshort jaji alitamani Ling'wenya avurunde, ndio maana baada ya kuona majibu ni mazuri akaweka pingamizi.Simply jaji haamini shahidi anachoongea, yani kwa maana nyingine jaji kaamua kuweka "objection" kuwasaidia mawakili wa serikali, hii kesi iishe tu, mahakama ya rufaa ndio kimbilio lililobaki
hili la bwn Shahidi kuomba hizo documents ni pigo la kustukiza ambalo hakujipanga nalo ndio maana Wakili wa serikali amaamua kutoa hoja kwa maelezo marefu kupoteza muda halafu mwisho anaomba HAIRISHO😄 ili waende kujipanga na kuskilizia maagizo toka muhimili uliojichimbia kwenye mihimili mingine utoe maelekezo kwa jaji akubali pingamizi.Ajabu zaidi sababu wanazotumia kupinga upatikanaji wa document ya shahidi wa mashitaka (mpaka ikapelekea kuhoji kama mahakama imewasiliana na mshitaki kinyume cha taratibu) ndio wanazotumumia kuhoji barua anayotaka kuwasilishwa imemfikiaje mahabusu asiyekuwa huru!! Wanasisitiza hata kuhusu chain of custody ni shida, jambo ambalo hawakuonesha ni shida upande wao.
Erythrocyte kwa ushahidi huu kwanini huyu shetani Mbowe asikatae? Hii ni wazi kuwa kwa vyovyote vile atampendelea. Mkataeni tujue moja.Wadau wengi sana wamejitokeza kuhoji uadilifu wa Jaji anayeendesha kesi inayomkabili Mbowe na wenzake watatu , kauli aliyoitoa Mahakamani iliyojaa uongo ya Kwamba Shahidi aliyekuwa anahojiwa na Mawakili wa Utetezi Mbele yake na mbele ya umati wa watu , komando Ling'wenya huenda alipewa majibu ya maswali aliyokuwa anaulizwa , imeleta Taharuki kubwa na imethibitisha mashaka ya siku nyingi kwamba huenda Jaji Tiganga yuko upande wa Jamhuri .
Mkuu shida iliyojitokeza ni vema ikazungumzwa hadharani.Hivi ni sahihi alichokisema Jaji wakati jop la mawakili wa Jamhuri wamejaa tele vipi wasione hadi aone Jaji?kama sikosea huyo ni jaji wa tatu kwenye hii kesi.... na kila Jaji akija malalamiko ni yaleyale... sasa muafaka ni nini?.....wafuasi wetu uelekeo upi wafuate..., tunaendeleaje kufuatilia kesi na kusubiri matokeo yake ilihali tunaamini jaji yupo kimkakati.... Je tutasemaje mwishoni jaji huyu akimuachia mtu wetu?...
Hivi ni barua gan please, I have lost the truckhili la bwn Shahidi kuomba hizo documents ni pigo la kustukiza ambalo hakujipanga nalo ndio maana Wakili wa serikali amaamua kutoa hoja kwa maelezo marefu kupoteza muda halafu mwisho anaomba HAIRISHO😄 ili waende kujipanga na kuskilizia maagizo toka muhimili uliojichimbia kwenye mihimili mingine utoe maelekezo kwa jaji akubali pingamizi
Hii imenionyesha namna gani mawakili wa utetezi walivyo smart na kuwa mbele ya muda 😄😄 ngoja tuongeze popcorns zaidi tuendelee kuangalia mwisho unakuaje
Sasa hilo pingamizi aliloweka ndio atakwenda kulitolea maamuzi kwenye hukumu, Lin'gwenya ataadhibiwa kwa kusema kwake ukweli.Mimi sidhani kwamba haamini, ninadhani kuwa shahidi katoa maelezo mazuri na kwa ufasaha hadi jaji akahisi kuwa anafundishwa majibu, inshort jaji alitamani Ling'wenya avurunde, ndio maana baada ya kuona majibu ni mazuri akaweka pingamizi.
Hakika!Mimi sidhani kwamba haamini, ninadhani kuwa shahidi katoa maelezo mazuri na kwa ufasaha hadi jaji akahisi kuwa anafundishwa majibu, inshort jaji alitamani Ling'wenya avurunde, ndio maana baada ya kuona majibu ni mazuri akaweka pingamizi.
Sijui kesho nini kitajitokeza inaonesha tunapoelekea ni patamu sana!Sasa hilo pingamizi aliloweka ndio atakwenda kulitolea maamuzi kwenye hukumu, Lin'gwenya ataadhibiwa kwa kusema kwake ukweli.
Leo Jaji kaongea hayo maneno! Je wanasheria kwa uelewa wenu hayo maneno yanaweza kuja kutumika kukatiwa rufaa au kwa sasa hivi kumkataa Jaji?
ni barua inayotaka vitu vitakaovyoonyesha kuwa walipelekwa central polisi Dar pamoja na uwepo wa yule polisi aliyetoa ushahidiHivi ni barua gan please, I have lost the truck